kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Elimu endelevu ,pamoja amechanjwa anafanyanao kazi nijamii akivaa barakoa anatoa kwao picha flani halisi nahisia Kali kwamba barakoa ni muhimu inakinga/punguza uvico 19Siyo Mbowe niliyesikia kuwa alishapata chanjo ya Covid? Sasa barakoa ya nini tena?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
kuweka sawa kumbukumbu sawaFamilia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Hpna, angejiaminisha kuwa amechanjwa na haitaji tena barakoa ili wao pia waone umuhimu wa chanjoElimu endelevu ,pamoja amechanjwa anafanyanao kazi nijamii akivaa barakoa anatoa kwao picha flani halisi nahisia Kali kwamba barakoa ni muhimu inakinga/punguza uvico 19
Kuhusu mfugale vipiHuyu Mzee Awaachie Vijana Uenyekiti.... Kang'ang'ania Atafia hapo kitini
Ccm naserikali yake onyesheni pesa watu wanakosa hadi kununua barakoaKavaa barakoa peke yake kwenye almost kwenye Kila picha.
Hiyo ina maanisha kwamba raia wanaamini hiyo kitu hakuna.
Chanjo iwe hiyari Ila barakoa nilazima ,Kuugua corona niuchafu hakuna tofauti nakipindupindu ,take care mkuuHpna, angejiaminisha kuwa amechanjwa na haitaji tena barakoa ili wao pia waone umuhimu wa chanjo
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
KWA iyo unataka kusemaje mkuu, ? Kabla ya kukuuliza upo kundi gani la ccm Kati ya yale mannetoka chadema digital imekuja jamaaa kitambi kimekua kikubwa sana
Hpna, angejiaminisha kuwa amechanjwa na haitaji tena barakoa ili wao pia waone umuhimu wa chanjo
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Kwani mwendazake alipofia kwenye kiti cha urais na uenyekiti wa ugambani kulikuwa kuna shida? Your point of view is nonsensical.Huyu Mzee Awaachie Vijana Uenyekiti.... Kang'ang'ania Atafia hapo kitini
Don’t be naive.Kavaa barakoa peke yake kwenye almost kwenye Kila picha.
Hiyo ina maanisha kwamba raia wanaamini hiyo kitu hakuna.
Kinga ya ziada.Siyo Mbowe niliyesikia kuwa alishapata chanjo ya Covid? Sasa barakoa ya nini tena?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
KWA iyo unataka kusemaje mkuu, ? Kabla ya kukuuliza upo kundi gani la ccm Kati ya yale manne
Familia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Mangula ana fikra gani mpya ?Issue Sio Uzee...Issue ni Fikra Mpya....Mtu Kang'ang'ania Kiti toka enzi hizo.
Kipindi Cha Mkapa......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Kikwete...Ye Yupo..!
Kipindi Cha Magu.......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Samia......Ye Yupo..!
Duh Huko CDM Hakuna Mbadala.. ?
Achana na Mangula, Kichwa Cha Mabehewa (Train) ni Samia Kwa Sasa. Uwepo Wa Samia Unakupatia 'FIKRA MPYA'. Mbowe kuwepo zama Hizi ni Udumavu Wa Fikra.Mangula ana fikra gani mpya ?
Mbowe ana tofauti ipi ya umri na Samia ?Achana na Mangula, Kichwa Cha Mabehewa (Train) ni Samia Kwa Sasa. Uwepo Wa Samia Unakupatia 'FIKRA MPYA'. Mbowe kuwepo zama Hizi ni Udumavu Wa Fikra.
Huyo akiwashindwa tuiteni tumcharaze Bakora atoke....!
Labda kunywa soda na koroshoMdogo mdogo mpk ikulu