Chama kitajengwa na wenye moyoHuu ndio ule mwendelezo wa ile kampeni ya kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi inayoitwa OPERESHENI HAKI , Ambayo tayari imeingia Kanda ya Pwani .
Pichani : ni Mwamba mwenyewe akiwa jimbo la Segerea
View attachment 1841411
View attachment 1841414View attachment 1841415
Kwanini hammpendi mbowe? huyo sisi ndiye tunamtaka.Huyu Mzee Awaachie Vijana Uenyekiti.... Kang'ang'ania Atafia hapo kitini
Lipumba, Mbatia, Mrema nk....nk!Issue Sio Uzee...Issue ni Fikra Mpya....Mtu Kang'ang'ania Kiti toka enzi hizo.
Kipindi Cha Mkapa......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Kikwete...Ye Yupo..!
Kipindi Cha Magu.......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Samia......Ye Yupo..!
Duh Huko CDM Hakuna Mbadala.. ?
Mbowe ana tofauti ipi ya umri na Samia ?
Michango ya wanyonge hiyotoka chadema digital imekuja jamaaa kitambi kimekua kikubwa sana
Familia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Mti wenye matunda. Wao CCM wamekaa miaka 60 madarakani mbona hakuna mabadiliko?Lipumba, Mbatia, Mrema nk....nk!
Mwambie huyo Pimbi wa Lumumba
Kwahiyo kumbe maisha ya watu yanaweza kuwa mazuri tu bila katiba mpya wala CCM kutoka madarakani???Familia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Huoni Mbowe anaota kitambi.Mti wenye matunda. Wao CCM wamekaa miaka 60 madarakani mbona hakuna mabadiliko?
Maisha sio kula tu,watu wanapigania haki,ile inaitwa natural justice,nyerere alisomeshwa na wazungu ila aliwatoa na akafia kwa wazungu,Kwahiyo kumbe maisha ya watu yanaweza kuwa mazuri tu bila katiba mpya wala CCM kutoka madarakani???
Kwa hiyo Mangula anafikra mpya..yuko toka enzi za hayati Mwalimu Nyerere!Issue Sio Uzee...Issue ni Fikra Mpya....Mtu Kang'ang'ania Kiti toka enzi hizo.
Kipindi Cha Mkapa......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Kikwete...Ye Yupo..!
Kipindi Cha Magu.......Ye Yupo..!
Kipindi Cha Samia......Ye Yupo..!
Duh Huko CDM Hakuna Mbadala.. ?
Inaonekana we hujui historia ya mzee wake mbowe hapa mjini ikoje ,hajawahi kuwa na njaa maisha yake yoteHuoni Mbowe anaota kitambi.
Au yeye kavuna pesa wakati wa utawala wa chama gani ?
Pamoja na kufilisiwa na wahuni wa ccm jpm na sabaya mwamba bado anadunda tu kidigitalitoka chadema digital imekuja jamaaa kitambi kimekua kikubwa sana
nyerere huyu huyu mtoto wa burito au yericko wa kilimo cha nyanya na kada wa chadema!!!!Familia yao ilikuwa na hela kabla ya uhuru na baada ya uhuru.nyerere mwenyewe alikuwa anagongea msosi kwao kipindi hicho
Huyu huyu baada ya kuacha ualimu alipigika mbaya,hana kazi chama hakina hela na ana watoto rundo,alipitia kipindi kigumu kidogonyerere huyu huyu mtoto wa burito au yericko wa kilimo cha nyanya na kada wa chadema!!!!
We work from home brondo .kuna video conference and so many other technologies mkuu hatuhitaji jengo kubwa kivileLini atafungua jengo la makao makuu?!!