Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

Hapa nadhani Mh alihadithiwa
Maana alikuwa shamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha propaganda za Mtaa wa mafisCCM!

Watz na UN tunajua CCM mnahangaika sana na CHADEMA na kila siku mnatamani Viongozi wote wa CHADEMA akiwemo Mhe. Mbowe muwamalize kwa risasi....lakini Mungu Bado yuko upande wa CHADEMA...!

Mwl. Nyerere(rip)alisema UKIFANYA DHAMBI YA UBAGUZI HUTAIACHA NI SAWA NA KULA NYAMA YA MTU.....!!!
Kinachotokea sasa kwa MZEE MANGULA-M/MWENYEKITI CCM KULISHWA SUMU NI MATOKEO YA DHAMBI HIYO!
 
Siku Mama yako Akibakwa na hao Maaskari ndo utaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi shule kwanza.....Bado hueleweki!!!
Asipotangaza mbowe kuzuia mikutano kwa kigezo cha korona ! Niatarudi shule tena ya vidudu kuanza upya!
Hizo siasa za maigizo huku yeye akipiga pesa kupitia mawakiri na kutuchangisha sisi wakati anasema vyuma vimekaza!
Hakika hatumuelewi

Kama nyie niwanufaika moja wapo sisi tunaoandamana na kupigwa naukitoka hupati hata kifuta jacho! Hatupo tayari.
Mawakiri ni tundu alilotoboa lakula hela za chama.
 


Narudia tena, rudi shule ukajifunze kusoma na kuandika, hapa unazidi kudhihirisha kuwa ccm ni chama cha vilaza.
 
wahi lumumba uhesabiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…