Freeman Mbowe elimu nzuri sio kuzungumza Kiingereza

Freeman Mbowe elimu nzuri sio kuzungumza Kiingereza

Lugha inawanyima sana fursa vijana. Huo ni ukweli. Mbowe anaweza kuwa miyeyusho lakini hapa kaongea ukweli.
Na hili la kudororesha elimu yetu wa kulaumiwa ni Nyerere mageuzi ya mwaka 1968. Learning resources nyingi zipo kwa lugha ya kiingereza.

Kama lengo lilikua kukifanya Kiswahili kipae ingewekwa Kiswahili ni somo la lazima na mtu anapigwa penati kama ilivyo kwa Hisabati. Na ingewezekana Kisw. kuwa somo la lazima pia chuo kikuu. Namna hiyo watu wetu wangekua wazuri kwenye lugha zote 2 kwa ufasaha.
 
Mikutano imeruhusiwa na Mama lakini mchague kwa makini nini mtakwenda kuwaambia wananchi kwenye majukwaa ya kisiasa. Mbowe aliwaambia wananchi wanaomsikiliza kuwa Watanzania hawawezi kwenda kutafuta kazi nchi za nje zikiwemo Ulaya na Marekani kwakuwa hawajui kuongea kiingereza kama ushahidi wa elimu yetu mbovu kuliko ya Kenya.

Wachina, Wasomali, Warundi, wWanyarwanda na Wahabeshi hawajui kuongea kiingereza lakini wametapakaa nchi nyingi za dunia. Wakenya hawajui kiswahili kizuri lakini wako wengi Tanzania kuliko watanzania walioko Kenya.

Hii ni kuonyesha kuwa kinachowapeleka wakenya wengi nchi za nje kuliko watanzania sio kujua kiingereza kuliko watanzania bali kuna sababu nyingine za maana kuliko kujua kuzungumza kiingereza. Na sababu hizo ni pamojana na hizi zifuatazo:

1. AMANI: Mtanzania anao uhakika wa kuiona kesho na kuwaona wajukuu zake kabla hajafa. Hii ni tofauti na mataifa mengine yanayotuzunguuka. Kila mtu anatamani kuja tz na sio kuondoka Tanzania.

2. ARDHI: Tanzania kuna ardhi kubwa ya bure kwa kila mtanzania inayomwezesha kulima, kufuga, kuvua, kujenga na kuchimba bila bughuza na kujipatia kipato. Kenya hakuna ardhi kwa watoto wao. Kenya ardhi kubwa iko mikononi mwa watu wachache na wazungu.

3. UHOLELA: Tanzania kila kitu ni holela tu. Unalima, unafuga, unavua, unafanya biashara, unachimba na kujenga kiholela tu, hata kodi haikusanywi kivilee, watu hawana leseni za biashara wala za kuuza pombe lakini wanauza tu popote. Hata leseni za udereva unapatiwa tu wakati wowote, magari mabovu yako barabarani na polisi ni washikaji tu mitaani. Hali kama hii huwezi kuipata popote pale ni tz tu. Kijana wa kitanzania hawezi kukubali kuachana na maisha kama haya aende akaparangane na maisha ya kitumwa na kimanamba huko ulaya na marekani. Siku uholela huu ukiisha hapa nchini vijana watafunguka wenyewe kwenda kokote duniani.

4. Elimu bure: Wakenya wanapata elimu kwa gharama kubwa sana. Wazazi wanauza kila kitu kumsomesha mtoto, hii inasababisha msukumo mkubwa wa kijana na wazazi kulazimisha mtoto apate ajira kokote ili kurejesha gharama za elimu. Kwetu huku elimu ni bure haina thamani, sio lazima upate ajira kwa udi na uvumba.

5. Taasisi za umma. Tz kuna taasisi nyingi za umma/ujamaa. hata kama mfanyakazi akiwa mvivu, mzembe, mwizi na goigoi atalipwa tu mshahara. Kule kenya kazi nyingi ni wa wazungu na watu binafsi, unalazimika kuwa mchapakazi, hodari, na mwaminifu ili udumu kazini. Vijana wetu wanapenda maisha haya ya kuleana, kuvumiliana na undugunization. Hii haina uhusiano na ubora wa elimu wa kijana, bali ni umakini wa mwajili tu.

6. Vyakula vingi. Tz hakuna ukame, vyakula tele. Kijana anaweza kula na kulala bure kabisa kwa wazazi, shangazi, mjomba, kaka, shemeji. Kule kenya na ulaya hakuna maisha kama hayo. Kijana wetu aende wapi kuyaacha maisha kama haya?

Maisha haya ndiyo yanasababisha hata vijana wetu wanasoka washindwe kwenda kucheza mpira nje ya Tanzania.

Hivyo tusipotoshe watu kuwa elimu ya kenya iko juu zaidi ndio maana wanakwenda wengi nje kuliko watanzania. Ukweli ni kwamba maisha kenya ni magumu sana kuliko Tanzania,
Wachuna wanajitoshereza hawahitaki kwenda kuombaomba nje ila sisi tunahitaji Dunia kuliko inavyotuhitaji
 
Mikutano imeruhusiwa na Mama lakini mchague kwa makini nini mtakwenda kuwaambia wananchi kwenye majukwaa ya kisiasa. Mbowe aliwaambia wananchi wanaomsikiliza kuwa Watanzania hawawezi kwenda kutafuta kazi nchi za nje zikiwemo Ulaya na Marekani kwakuwa hawajui kuongea kiingereza kama ushahidi wa elimu yetu mbovu kuliko ya Kenya.

Wachina, Wasomali, Warundi, wWanyarwanda na Wahabeshi hawajui kuongea kiingereza lakini wametapakaa nchi nyingi za dunia. Wakenya hawajui kiswahili kizuri lakini wako wengi Tanzania kuliko watanzania walioko Kenya.

Hii ni kuonyesha kuwa kinachowapeleka wakenya wengi nchi za nje kuliko watanzania sio kujua kiingereza kuliko watanzania bali kuna sababu nyingine za maana kuliko kujua kuzungumza kiingereza. Na sababu hizo ni pamojana na hizi zifuatazo:

1. AMANI: Mtanzania anao uhakika wa kuiona kesho na kuwaona wajukuu zake kabla hajafa. Hii ni tofauti na mataifa mengine yanayotuzunguuka. Kila mtu anatamani kuja tz na sio kuondoka Tanzania.

2. ARDHI: Tanzania kuna ardhi kubwa ya bure kwa kila mtanzania inayomwezesha kulima, kufuga, kuvua, kujenga na kuchimba bila bughuza na kujipatia kipato. Kenya hakuna ardhi kwa watoto wao. Kenya ardhi kubwa iko mikononi mwa watu wachache na wazungu.

3. UHOLELA: Tanzania kila kitu ni holela tu. Unalima, unafuga, unavua, unafanya biashara, unachimba na kujenga kiholela tu, hata kodi haikusanywi kivilee, watu hawana leseni za biashara wala za kuuza pombe lakini wanauza tu popote. Hata leseni za udereva unapatiwa tu wakati wowote, magari mabovu yako barabarani na polisi ni washikaji tu mitaani. Hali kama hii huwezi kuipata popote pale ni tz tu. Kijana wa kitanzania hawezi kukubali kuachana na maisha kama haya aende akaparangane na maisha ya kitumwa na kimanamba huko ulaya na marekani. Siku uholela huu ukiisha hapa nchini vijana watafunguka wenyewe kwenda kokote duniani.

4. Elimu bure: Wakenya wanapata elimu kwa gharama kubwa sana. Wazazi wanauza kila kitu kumsomesha mtoto, hii inasababisha msukumo mkubwa wa kijana na wazazi kulazimisha mtoto apate ajira kokote ili kurejesha gharama za elimu. Kwetu huku elimu ni bure haina thamani, sio lazima upate ajira kwa udi na uvumba.

5. Taasisi za umma. Tz kuna taasisi nyingi za umma/ujamaa. hata kama mfanyakazi akiwa mvivu, mzembe, mwizi na goigoi atalipwa tu mshahara. Kule kenya kazi nyingi ni wa wazungu na watu binafsi, unalazimika kuwa mchapakazi, hodari, na mwaminifu ili udumu kazini. Vijana wetu wanapenda maisha haya ya kuleana, kuvumiliana na undugunization. Hii haina uhusiano na ubora wa elimu wa kijana, bali ni umakini wa mwajili tu.

6. Vyakula vingi. Tz hakuna ukame, vyakula tele. Kijana anaweza kula na kulala bure kabisa kwa wazazi, shangazi, mjomba, kaka, shemeji. Kule kenya na ulaya hakuna maisha kama hayo. Kijana wetu aende wapi kuyaacha maisha kama haya?

Maisha haya ndiyo yanasababisha hata vijana wetu wanasoka washindwe kwenda kucheza mpira nje ya Tanzania.

Hivyo tusipotoshe watu kuwa elimu ya kenya iko juu zaidi ndio maana wanakwenda wengi nje kuliko watanzania. Ukweli ni kwamba maisha kenya ni magumu sana kuliko Tanzania,
Nakubaliana na hoja zako katika muktadha mwingine wa kwanini watu wetu hawapendi kwenda nje mbali na sababu ya kutojua lugha kama alivyosema Mbowe.

Wapo watanzania wengi hata ambao wana nafasi na visomo vyao vinawaruhusu kufanya kazi nje wameacha hizo fursa kutokana na unafuu ulioueleza. Mathalani mimi nina mfano wa kaka yangu alikataa kufanya kazi Ireland sababu anasema havutiwi na mazingira ya ughaibuni. Yupo hapahapa bongo na ameridhika. Kwa kisomo chake na uwezo wake kichwani na ubobezi wa lugha angeweza kufanya kazi popote duniani. Anasafiri mara kwa mara nje, lakini hataki kufanya kazi nje.
Na inawezekana moja ya sababu ni hizo ulizoeleza hapa.

Na nina mifano ya wengi waliokataa ofa za kazi nje na kubaki hapa nyumbani.
 
Mikutano imeruhusiwa na Mama lakini mchague kwa makini nini mtakwenda kuwaambia wananchi kwenye majukwaa ya kisiasa. Mbowe aliwaambia wananchi wanaomsikiliza kuwa Watanzania hawawezi kwenda kutafuta kazi nchi za nje zikiwemo Ulaya na Marekani kwakuwa hawajui kuongea kiingereza kama ushahidi wa elimu yetu mbovu kuliko ya Kenya.

Wachina, Wasomali, Warundi, wWanyarwanda na Wahabeshi hawajui kuongea kiingereza lakini wametapakaa nchi nyingi za dunia. Wakenya hawajui kiswahili kizuri lakini wako wengi Tanzania kuliko watanzania walioko Kenya.

Hii ni kuonyesha kuwa kinachowapeleka wakenya wengi nchi za nje kuliko watanzania sio kujua kiingereza kuliko watanzania bali kuna sababu nyingine za maana kuliko kujua kuzungumza kiingereza. Na sababu hizo ni pamojana na hizi zifuatazo:

1. AMANI: Mtanzania anao uhakika wa kuiona kesho na kuwaona wajukuu zake kabla hajafa. Hii ni tofauti na mataifa mengine yanayotuzunguuka. Kila mtu anatamani kuja tz na sio kuondoka Tanzania.

2. ARDHI: Tanzania kuna ardhi kubwa ya bure kwa kila mtanzania inayomwezesha kulima, kufuga, kuvua, kujenga na kuchimba bila bughuza na kujipatia kipato. Kenya hakuna ardhi kwa watoto wao. Kenya ardhi kubwa iko mikononi mwa watu wachache na wazungu.

3. UHOLELA: Tanzania kila kitu ni holela tu. Unalima, unafuga, unavua, unafanya biashara, unachimba na kujenga kiholela tu, hata kodi haikusanywi kivilee, watu hawana leseni za biashara wala za kuuza pombe lakini wanauza tu popote. Hata leseni za udereva unapatiwa tu wakati wowote, magari mabovu yako barabarani na polisi ni washikaji tu mitaani. Hali kama hii huwezi kuipata popote pale ni tz tu. Kijana wa kitanzania hawezi kukubali kuachana na maisha kama haya aende akaparangane na maisha ya kitumwa na kimanamba huko ulaya na marekani. Siku uholela huu ukiisha hapa nchini vijana watafunguka wenyewe kwenda kokote duniani.

4. Elimu bure: Wakenya wanapata elimu kwa gharama kubwa sana. Wazazi wanauza kila kitu kumsomesha mtoto, hii inasababisha msukumo mkubwa wa kijana na wazazi kulazimisha mtoto apate ajira kokote ili kurejesha gharama za elimu. Kwetu huku elimu ni bure haina thamani, sio lazima upate ajira kwa udi na uvumba.

5. Taasisi za umma. Tz kuna taasisi nyingi za umma/ujamaa. hata kama mfanyakazi akiwa mvivu, mzembe, mwizi na goigoi atalipwa tu mshahara. Kule kenya kazi nyingi ni wa wazungu na watu binafsi, unalazimika kuwa mchapakazi, hodari, na mwaminifu ili udumu kazini. Vijana wetu wanapenda maisha haya ya kuleana, kuvumiliana na undugunization. Hii haina uhusiano na ubora wa elimu wa kijana, bali ni umakini wa mwajili tu.

6. Vyakula vingi. Tz hakuna ukame, vyakula tele. Kijana anaweza kula na kulala bure kabisa kwa wazazi, shangazi, mjomba, kaka, shemeji. Kule kenya na ulaya hakuna maisha kama hayo. Kijana wetu aende wapi kuyaacha maisha kama haya?

Maisha haya ndiyo yanasababisha hata vijana wetu wanasoka washindwe kwenda kucheza mpira nje ya Tanzania.

Hivyo tusipotoshe watu kuwa elimu ya kenya iko juu zaidi ndio maana wanakwenda wengi nje kuliko watanzania. Ukweli ni kwamba maisha kenya ni magumu sana kuliko Tanzania,
Huyo bwege wenu Mbowe anawafariji yeye hana mtoto anaesoma shule za Kata, wanae Marekani. Kauli ya kizuzu na kibazazi hio no English no international linkage
 
Mikutano imeruhusiwa na Mama lakini mchague kwa makini nini mtakwenda kuwaambia wananchi kwenye majukwaa ya kisiasa. Mbowe aliwaambia wananchi wanaomsikiliza kuwa Watanzania hawawezi kwenda kutafuta kazi nchi za nje zikiwemo Ulaya na Marekani kwakuwa hawajui kuongea kiingereza kama ushahidi wa elimu yetu mbovu kuliko ya Kenya.

Wachina, Wasomali, Warundi, wWanyarwanda na Wahabeshi hawajui kuongea kiingereza lakini wametapakaa nchi nyingi za dunia. Wakenya hawajui kiswahili kizuri lakini wako wengi Tanzania kuliko watanzania walioko Kenya.

Hii ni kuonyesha kuwa kinachowapeleka wakenya wengi nchi za nje kuliko watanzania sio kujua kiingereza kuliko watanzania bali kuna sababu nyingine za maana kuliko kujua kuzungumza kiingereza. Na sababu hizo ni pamojana na hizi zifuatazo:

1. AMANI: Mtanzania anao uhakika wa kuiona kesho na kuwaona wajukuu zake kabla hajafa. Hii ni tofauti na mataifa mengine yanayotuzunguuka. Kila mtu anatamani kuja tz na sio kuondoka Tanzania.

2. ARDHI: Tanzania kuna ardhi kubwa ya bure kwa kila mtanzania inayomwezesha kulima, kufuga, kuvua, kujenga na kuchimba bila bughuza na kujipatia kipato. Kenya hakuna ardhi kwa watoto wao. Kenya ardhi kubwa iko mikononi mwa watu wachache na wazungu.

3. UHOLELA: Tanzania kila kitu ni holela tu. Unalima, unafuga, unavua, unafanya biashara, unachimba na kujenga kiholela tu, hata kodi haikusanywi kivilee, watu hawana leseni za biashara wala za kuuza pombe lakini wanauza tu popote. Hata leseni za udereva unapatiwa tu wakati wowote, magari mabovu yako barabarani na polisi ni washikaji tu mitaani. Hali kama hii huwezi kuipata popote pale ni tz tu. Kijana wa kitanzania hawezi kukubali kuachana na maisha kama haya aende akaparangane na maisha ya kitumwa na kimanamba huko ulaya na marekani. Siku uholela huu ukiisha hapa nchini vijana watafunguka wenyewe kwenda kokote duniani.

4. Elimu bure: Wakenya wanapata elimu kwa gharama kubwa sana. Wazazi wanauza kila kitu kumsomesha mtoto, hii inasababisha msukumo mkubwa wa kijana na wazazi kulazimisha mtoto apate ajira kokote ili kurejesha gharama za elimu. Kwetu huku elimu ni bure haina thamani, sio lazima upate ajira kwa udi na uvumba.

5. Taasisi za umma. Tz kuna taasisi nyingi za umma/ujamaa. hata kama mfanyakazi akiwa mvivu, mzembe, mwizi na goigoi atalipwa tu mshahara. Kule kenya kazi nyingi ni wa wazungu na watu binafsi, unalazimika kuwa mchapakazi, hodari, na mwaminifu ili udumu kazini. Vijana wetu wanapenda maisha haya ya kuleana, kuvumiliana na undugunization. Hii haina uhusiano na ubora wa elimu wa kijana, bali ni umakini wa mwajili tu.

6. Vyakula vingi. Tz hakuna ukame, vyakula tele. Kijana anaweza kula na kulala bure kabisa kwa wazazi, shangazi, mjomba, kaka, shemeji. Kule kenya na ulaya hakuna maisha kama hayo. Kijana wetu aende wapi kuyaacha maisha kama haya?

Maisha haya ndiyo yanasababisha hata vijana wetu wanasoka washindwe kwenda kucheza mpira nje ya Tanzania.

Hivyo tusipotoshe watu kuwa elimu ya kenya iko juu zaidi ndio maana wanakwenda wengi nje kuliko watanzania. Ukweli ni kwamba maisha kenya ni magumu sana kuliko Tanzania,
Kuna mambo anayoyapigia chapuo Mbowe ni hovyo kabisa, kama hilo la lugha ni mojawapo. Ni kama hawezi kutumia akili kuona kutokuwepo uhusiano wa lugha na watu kukimbia nchi zao kwenda nchi zingine.
Akili yake imegota hapo, hawezi kamwe kuinasua.

Lakini siyo hivyo tu, Mbowe ni Mkenya zaidi kuliko alivyo mTanzania kimfumo; na matatizo mengi ya CHADEMA kutokoga nyoyo za waTanzania wengi linaanzia hapo.

Pamoja na hayo yote, kama panya anaweza kumkamata panya kwa sasa, hilo ndilo la mhimu zaidi kuliko hayo mengine yamhusuyo Mbowe.
 
Imenibidi niondoe 'like' niliyokuwa nimeitoa kwenye mada hii, kwa sababu maelezo ya sababu zilizotolewa za waTanzania wengi kutopenda kutoka nje ya nchi kama baadhi ya nchi ni za kipuuzi sana.

Mleta mada hakutumia muda wake vizuri kutafakari sababu mhimu zinazowafanya waTanzania wasipende kwenda nje ya nchi yao.

Ninakutahadhalisha, usinichokoze kwa kunidai nitoe sababu ninazoziona zianasababisha tatizo hilo, kwa maana zote zinailalia CCM na ubovu wake katika kuendesha nchi katika miaka ya hivi karibuni.
 
Mboe ni muhuni Sana na mjanja mjanja lakini kwa hii argument yupo sahihi Nampa 💯% live long Mbowe. Hi lugha ya kingereza kwa sisi Hustler wataftaji imeua dreams zetu I remember mwaka flani nilishindwa kufanya Kazi na mchina , kwa sababu huyo mchina alikua hajui kingereza so hi lugha muhimu Sana hata hawa wajinga wachina wanapambana kuijua no way.
Nikiangalia mchango wako huu hapa naona hata hiyo lugha ya Kiswahili ni shida kwako.

Kwa hiyo, tatizo siyo lugha, unalo tatizo lingine, ambalo ndilo la msingi zaidi kwa kutofanikiwa kwako. Hilo tatizo linakufanya hata usitambue kuwa unalo!
 
Anakosea maana anaongea kinafiki wao kutwa wapo nje ...haya mkiwapa nchi wazungu watahamia hapa kabisa
Mbona wazungu wapo kitambo,bila hao mambo hayaendi, ndiyo maana unaona kutwa mikopo na misaada inasainiwa kutoka kwa mabeberu.
JPM pamoja nakutuaminisha kuwa tunainua uchumi kwa fedha zetu za ndani,kimya kimya alikuwa anavuta mikopo mikubwa kutoka kwa hao hao mabeberu.
 
Mtoa hoja mbona mwanao unampeleka FM- Academia kwa nini? acha uzushi ukweli ni lazima usemwe hadharani - kwa mfano hakuna mtumishi wa umma executive YOYOTE ambaye mwanaye anasoma shule za KATA aka KAYUMBA kama hupo asimame tumhesabu.

Watoto wa vigogo karibia wote wapo shule za kimataifa ambazo nyingi zinafuata mfumo wa ufundishaji wa Ulaya na Marekani na wakimaliza hapo hao wanakwea mapipa kwenda Marekani na nchi za ulaya kusoma shahada zao, msiwafanye watanzania bado ma mbumbumbu.

Mbowe upo sahihi, lugha ya kiingeleza inachangia sana hasa kwenye soko la ajira hapa nchini, hata kampuni ya kichina wataku-interview kwa lugha ya kiingeleza na si kwa kiswahili jiulize kwa nini?
 
Lugha inawanyima sana fursa vijana. Huo ni ukweli. Mbowe anaweza kuwa miyeyusho lakini hapa kaongea ukweli.
Na hili la kudororesha elimu yetu wa kulaumiwa ni Nyerere mageuzi ya mwaka 1968. Learning resources nyingi zipo kwa lugha ya kiingereza.

Kama lengo lilikua kukifanya Kiswahili kipae ingewekwa Kiswahili ni somo la lazima na mtu anapigwa penati kama ilivyo kwa Hisabati. Na ingewezekana Kisw. kuwa somo la lazima pia chuo kikuu. Namna hiyo watu wetu wangekua wazuri kwenye lugha zote 2 kwa ufasaha.
Kwa hiyo Lugha pekee duniani ni kiingereza?Uwezo wa Watanzania wa kufikiria upo chini sana.Mbona wachina Wana technology na ni matajiri ,lakin wengi wanajua kichina?Pia wajapan.Kwa hiyo ukijua kiingereza ndio utatoboa?
 
Kwa hiyo Lugha pekee duniani ni kiingereza?Uwezo wa Watanzania wa kufikiria upo chini sana.Mbona wachina Wana technology na ni matajiri ,lakin wengi wanajua kichina?Pia wajapan.Kwa hiyo ukijua kiingereza ndio utatoboa?
We kweli kiazi endelea kutumia kichwa kama shamba la kufugia nywele. Unailinganisha hii shithole country yako na hao wachina na wajapan hujui hata kufanya comparison. Ungeanza kuilinganisha nchi yako na wanachama wenzake waliopo kwenye Commonwealth.
Kakojoe ulale.
 
Nampinga Mbowe kwa mengi ila hili la lugha kasema ukweli. Hata kufeli kwa watoto wetu ni sababu ya kiingereza. Tunashukuru wakati wa Mkapa shule nyingi za medium zilianzishwa. Chukuwa nchi tatu za Africa Mashariki ya zamani, Watanzania tupo nyuma sana sababu ya lugha. Akija muwekezaji haangalii umetoka wapi anataka ufaulu interview. Mwisho unakuta Wakenya na Waganda wanachukiliwa wengi. Mtanzania unalalamika nini na hujui kiingereza? Basi zingatia ya Mbowe. Big up!
Nyerere alikuwa mwoga Sana! Alifuta kiingereza ili watu wasijue kinachoendelea duniani akihisi watampindua! Tz ni ya pekee ya kipuuzi Sana iliyotawaliwa na Mwingereza lakini haitumii Kiingereza kufundishia kuanzia Nursery mpaka chuo kikuu! Mchongo alikuwa hovyo Sana. Kizuri alichofanya ni kutuunganisha tu bila ukabila, mengine ni hovyo na ccm yake ya hovyo!
 
Sisi wala ngada na msuba,miaka ya 90 tulikuwa tunazamia sana mamto huko na kiingereza hatukukijua hata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We kweli kiazi endelea kutumia kichwa kama shamba la kufugia nywele. Unailinganisha hii shithole country yako na hao wachina na wajapan hujui hata kufanya comparison. Ungeanza kuilinganisha nchi yako na wanachama wenzake waliopo kwenye Commonwealth.
Kakojoe ulale.
Ukitaka kuishi maisha yasiyo na stress usitafute ubaya.Na mm nitakupatia tusi ili ukae vizuri .Yaan ww ni mavi sana.Tukiongea kiingereza tutapata nn?Mm najua kiingereza sana ,lakin pesa yangu nimeipata kwa njia nyingine kabisa.Sijaipata kwa kujua kiingereza .Achen umavi ,kungangania Lugha za watu.Wafundishen watoto ufundi .Naposema ufundi Kuna ufundi wa technology huko pia Kuna pesa.Na ufundi wa kila aina.Lakin mkingangania kiingereza ,sawa watajua ,ila watakuwa wapumbafu hawana kitu.
 
Mfano kidogo, vitu vingi vya kisayansi vimeandikwa kwa lugha kubwa za kimataifa, kiswahili hakuna, inabidi ujifunze hizo lugha kwa makini ili utoboe. Duniani kiingereza kinatawala, sasa wewe ni nani usijifunze? Angalia jirani zetu wanavyopeta nasi tunapeta na ujamaa wetu. Tuamke sasa tujifunze kwa bidii kiingereza.
 
Back
Top Bottom