SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama mtu ana PhD anasema pipo yuzdi tu dai in ze reki huu ni Utopolo kabisa.Nampinga Mbowe kwa mengi ila hili la lugha kasema ukweli. Hata kufeli kwa watoto wetu ni sababu ya kiingereza. Tunashukuru wakati wa Mkapa shule nyingi za medium zilianzishwa. Chukuwa nchi tatu za Africa Mashariki ya zamani, Watanzania tupo nyuma sana sababu ya lugha. Akija muwekezaji haangalii umetoka wapi anataka ufaulu interview. Mwisho unakuta Wakenya na Waganda wanachukiliwa wengi. Mtanzania unalalamika nini na hujui kiingereza? Basi zingatia ya Mbowe. Big up!
Kama na yeye anathamini nchi yake naye alete watoto wake wasomee hapa Tanzania.Wewe unajifananisha na Mbowe , ebu mtazame mtoto anayesoma shule za kata ambaye hajui kingereza na unadhani anatoboaje? Usijiangalie wewe tu.
Kama na yeye anathamini nchi yake naye alete watoto wake wasomee hapa Tanzania.
Kiswahili ndio takataka iliyotuweka hapa we need 4 wheel drive na ni kingereza kutoka kwenye hili topeKingereza kinaturudisha nyuma sana.
Hivi Mtu ambaye hajui Kingereza unaweza mpatia Kazi gani? Kimataifa Mtu anayepinga hili Jambo hayupo sahihi.
Sure unajua hapa bongo ma Hustler wengi lugha hawajui na wangejua wangeshaondoka kwenda kujitaftia mkate wao nje.Kiswahili ndio takataka iliyotuweka hapa we need 4 wheel drive na ni kingereza kutoka kwenye hili tope
Kwa hio watu wanaajiriwa kwa sababu ya Kingereza?Kingereza kinaturudisha nyuma sana.
Hivi Mtu ambaye hajui Kingereza unaweza mpatia Kazi gani? Kimataifa Mtu anayepinga hili Jambo hayupo sahihi.
Watu walisha hama huko wanaangalia furusa, Wa ethiopia kule South wanatafuta kazi?Acha upotoshaji wewe. Kiingereza ni kikwazo sana kwa watanzania kupata kazi nje. Mbowe yuko sahihi.
Inawanyima furusa Watanzania pekee? Yaani Duniani inawanyima Watanzania pekee?Wakenya kinacho wasaidia sana ni Exposure na sio Lugha, Waganda wanaongea Kingereza ila wako tu kama Sisi,Lugha inawanyima sana fursa vijana. Huo ni ukweli. Mbowe anaweza kuwa miyeyusho lakini hapa kaongea ukweli.
Na hili la kudororesha elimu yetu wa kulaumiwa ni Nyerere mageuzi ya mwaka 1968. Learning resources nyingi zipo kwa lugha ya kiingereza.
Kama lengo lilikua kukifanya Kiswahili kipae ingewekwa Kiswahili ni somo la lazima na mtu anapigwa penati kama ilivyo kwa Hisabati. Na ingewezekana Kisw. kuwa somo la lazima pia chuo kikuu. Namna hiyo watu wetu wangekua wazuri kwenye lugha zote 2 kwa ufasaha.
Watu mna vichwa vigumu kusoma between the line na kuelewa. Endelea kuwatumia kama mifano walioshindwa au unaolingana nao kama case study yako pia endelea kutumia fuvu kama shamba la kufugia nywele.Inawanyima furusa Watanzania pekee? Yaani Duniani inawanyima Watanzania pekee?Wakenya kinacho wasaidia sana ni Exposure na sio Lugha, Waganda wanaongea Kingereza ila wako tu kama Sisi,
Hujaenda nje, hivyo hujui chochote. Busara ni kukaa kimya.Watu walisha hama huko wanaangalia furusa, Wa ethiopia kule South wanatafuta kazi?
Kwa hio Waganda, Wa Malawi, Wazambia wameajiriwa Duniani huko?
Msiwe mnaropokwa tu. Unajua chanzo cha wasomali wako sehemu nyingi? Shughulisha kichwa kabla hujaandika. Somali wanapata privilege ya hadhi ya ukimbizi kutokana na instability ya nchi yao hivyo kukimbilia kupata usalama na nafuu ya maisha kama wahanga. Ethiopia nani kakudanganya wame spread nchi nyingi duniani? Muwe mnasoma na kushughulisha bongo.Hao wasomali na wahabeshi waliojaa kila kona ya Dunia, kwenye mataifa yao lugha yao ya taifa ni kiingereza?
Ujinga na umbumbu ni wenu kutamani vya wenzio, mtaolewa mapemaaEndeleeni kuwaza ujinga.
Mbona watoto shule ya msingi wanatumia kiswahili kufundisha lakini wanafeli masommo ya kiswahili, hisabati, maarifa, sayansi na hata English yenyewe? Tatizo sio kiingereza.Nampinga Mbowe kwa mengi ila hili la lugha kasema ukweli. Hata kufeli kwa watoto wetu ni sababu ya kiingereza. Tunashukuru wakati wa Mkapa shule nyingi za medium zilianzishwa. Chukuwa nchi tatu za Africa Mashariki ya zamani, Watanzania tupo nyuma sana sababu ya lugha. Akija muwekezaji haangalii umetoka wapi anataka ufaulu interview. Mwisho unakuta Wakenya na Waganda wanachukiliwa wengi. Mtanzania unalalamika nini na hujui kiingereza? Basi zingatia ya Mbowe. Big up!
Hivi wachina na WA Cuba wanajua kiingereza gani? Mbona fly over zote wanatujengea wao?Kingereza kinaturudisha nyuma sana.
Hivi Mtu ambaye hajui Kingereza unaweza mpatia Kazi gani? Kimataifa Mtu anayepinga hili Jambo hayupo sahihi.
Unajihisi unajua sana kumbe hakuna lolote, umeshindwa kujibu swali umekuja kuonesha ni jinsi gani ulivyo mweupe kichwani. Sasa nakuuliza swali tena vipi kuhusu wachina waliotapaka dunia nzima nao wana hiyo privilege ya ukimbizi? Aliyekudanganya lugha ndiye humfanya mtu aweze kusafuri nje au kuajiriwa nje ni nani.Msiwe mnaropokwa tu. Unajua chanzo cha wasomali wako sehemu nyingi? Shughulisha kichwa kabla hujaandika. Somali wanapata privilege ya hadhi ya ukimbizi kutokana na instability ya nchi yao hivyo kukimbilia kupata usalama na nafuu ya maisha kama wahanga. Ethiopia nani kakudanganya wame spread nchi nyingi duniani? Muwe mnasoma na kushughulisha bongo.
Andika tu hata demographic spread of migrants worldwide utapata ABC kujua akina nani wako wengi sehemu tofautitofauti ulimwenguni. Iruhusu akili kuwa flexible utaona pande zote za shilingi kwa kila mtu, hali, kitu, taasisi, mifumo n.k n.k
Umeandika ujinga. Nimekwambia Amani kwenye taifa ni mija ya sababu inasababisha watu wabaki kwenye taifa lao au kuondoka. Wasomali hawana amani.Msiwe mnaropokwa tu. Unajua chanzo cha wasomali wako sehemu nyingi? Shughulisha kichwa kabla hujaandika. Somali wanapata privilege ya hadhi ya ukimbizi kutokana na instability ya nchi yao hivyo kukimbilia kupata usalama na nafuu ya maisha kama wahanga. Ethiopia nani kakudanganya wame spread nchi nyingi duniani? Muwe mnasoma na kushughulisha bongo.
Andika tu hata demographic spread of migrants worldwide utapata ABC kujua akina nani wako wengi sehemu tofautitofauti ulimwenguni. Iruhusu akili kuwa flexible utaona pande zote za shilingi kwa kila mtu, hali, kitu, taasisi, mifumo n.k n.k
We naye kilaza kuwa unasoma vema.Umeandika ujinga. Nimekwambia Amani kwenye taifa ni mija ya sababu inasababisha watu wabaki kwenye taifa lao au kuondoka. Wasomali hawana amani.
Naona unarukaruka hujui hata unayoongea. Endelea kukaza fuvu. Good day.Unajihisi unajua sana kumbe hakuna lolote, umeshindwa kujibu swali umekuja kuonesha ni jinsi gani ulivyo mweupe kichwani. Sasa nakuuliza swali tena vipi kuhusu wachina waliotapaka dunia nzima nao wana hiyo privilege ya ukimbizi? Aliyekudanganya lugha ndiye humfanya mtu aweze kusafuri nje au kuajiriwa nje ni nani.
Tuna waturuki hapa wanajenga reli na kiingereza hawajui lakini wamekuja hapa sababu ya utaalamu wao. Sasa wewe unayejua kiingereza nenda kakitumie sasa kufanya kazi anayefanya huyo mturuki kama sio utaishia kushanga shangaa tu.
Jibu swali mkuu. Umeshindwa kutetea mnachotaka kuhaminisha watu. Sipingi kiingereza ila sio kwa jinsi mnavyotaka kutuaminisha.Naona unarukaruka hujui hata unayoongea. Endelea kukaza fuvu. Good day.