Freeman Mbowe hayuko peke yake, Pongezi kwa wote

Freeman Mbowe hayuko peke yake, Pongezi kwa wote

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Salamu zitakuwa zimewafikia kuwa mheshimiwa Mbowe hayuko peke yake na hatakuwa peke yake.

Funzo kubwa kwa makamanda limetoka kwake wakili msomi Peter Kibatala:

"Kuwe na mkakati rasmi wa mapambano ambapo tutakuwa sote na wahanga wetu katika raha na katika shida."

Kama ilivyo kwa kamanda Mbowe, kila mhanga na akabakie kuwa kwenye mikono yetu iliyo salama kweli kweli.

Tumwondolee awaye yote dhana potofu ya kumtishia yeyote kuwa "kila mchuma janga atakula na wakwao."

By the way: "Janga lipi?"

Ikumbukwe hili si janga bali wajibu uliotukuka wa kuirejesha nchi kwa wananchi kutokea kwa mkoloni mweusi.

Leteni mkakati ambao utahusisha wapenda haki kuchangia kwa hali na mali jitihada hizi.

Ushindi hauko mbali.

Wingi wetu, umoja wetu na uhakika wetu wa kesho ni silaha na ngao kubwa kuliko zozote walizo nazo wao.

Ninawasilisha
 
Namna nzuri ya kupambana na waonevu, wakiwachukua baadhi kibabe ili kuwaogopesha waliobaki muhimu kuonesha kwa vitendo waliochukuliwa hawako peke yao, hii spirit inafaa ipandikizwe kwa wapenda demokrasia wote iwe njia mojawapo ya kupambana na uonevu wa polisi.
 
Namna nzuri ya kupambana na waonevu, wakiwachukua baadhi kibabe ili kuwaogopesha waliobaki muhimu kuonesha kwa vitendo waliochukuliwa hawako peke yao, hii spirit inafaa ipandikizwe kwa wapenda demokrasia wote iwe njia mojawapo ya kupambana na uonevu wa polisi.

Muhimu sana adui akanyang'anywa karata ya kuwa na uwezo wa kumsababishia yeyote, maumivu.

1. Alichofanya Kibatala ni mfano.

2. Tulipochanga faini kuwatoa Segerea wakiwamo kina Mdee ni mfano mwingine.

Tutafika na hatuko mbali.
 
Namna nzuri ya kupambana na waonevu, wakiwachukua baadhi kibabe ili kuwaogopesha waliobaki muhimu kuonesha kwa vitendo waliochukuliwa hawako peke yao, hii spirit inafaa ipandikizwe kwa wapenda demokrasia wote iwe njia mojawapo ya kupambana na uonevu wa polisi.
 
Ukimuiga tembo kunya Mbowe ni mwenyekiti ndio maana watu wameandamana kwa ajili yake. Ila Mdunde alipofungwa hakuna aliejishughulisha kuandaa maandamano yoyote.
 
Nasikia mmenyukwa Sana leo

USSR
 
Nasikia mmenyukwa Sana leo

USSR

Kumbuka:


Kwa magumu yote tunamopita tutakuwa na ufumbuzi mantashari kabla ya kufika kwenye ugaidi - au vipi?
 
dawa ya wakorofi na watukutu unawapelekea moto tu.
Gaidi namaba moja ataendelea kusota sana.
 
Katib mkuu (JJ Mnyika) au mhusika mwingine wape raia njia ya kuchangia gharama za mawakili.
 
Eti wanasema, hivi na mama anaweza kuvaa zile za mabaka mabaka aanze kutufokea 🤣👇
20210805_105235.jpg
 
Upinzan Kuna sehemu wanakosea sana kutoandaa vijana for their self defence!
 
dawa ya wakorofi na watukutu unawapelekea moto tu.
Gaidi namaba moja ataendelea kusota sana.

Tunajua mnaumia kuona kila siku inayopita tunaimarika kuliko jana yake. Habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom