Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemwambia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni kuwa amfikishie salamu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa anatakiwa kuunda Tume ya Kijaji ya Mahakama kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Nchini.
Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.
Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.
Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana