Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Sasa jeshi la polisi Lina kazi Gani lisifichue hao wauwaje wa huko chadema?
 
Mbowe atoke kwenye hii denial zone.
Si mahakama si polisi watakuwa upande wa wananchi.
Changisheni wananchi tupate independent investigator.
Sio kila mahali tutumie uungwana
Lema you nailed it! Asante sana
Sasa jumatano msikutane kunywa chai na soda mje na majibu ya ndivyo sivyo.
Msiishie na press conference actions speaks louder than words.

Tutachanga if needed tutoke tulipo. Tufurahie mema ya nchi.,
Watesi muda wao ufike kikomo.
Bring back our lovely country.

Uboreshaji wa daftari la wapiga kura ni waste of time.
Hii ni golden chance jambo jema lifanyike nchi ipate kupona..
Msiba huu uamshe hisia za wananchi ( bara)
 
Siasa za Bongo vichekesho...sasa hiyo tume ya kijaji itachunguzaje haya matukio bila ya msaada wa polisi?
 
Um
Ila mbowe ndo tatizo Chadema kwakweli Leo alipaswa kukabidhi suala hili mikononi mwa umaaa. Majaji hao si wateule wa Raisi?
Angeshauri tuu vyombo vya nje vije vichunguze hiyo tume ya kijaji hata Leo jioni inaundwa
Eongea
Ila mbowe ndo tatizo Chadema kwakweli Leo alipaswa kukabidhi suala hili mikononi mwa umaaa. Majaji hao si wateule wa Raisi?
Angeshauri tuu vyombo vya nje vije vichunguze hiyo tume ya kijaji hata Leo jioni inaundwa
Umewaza kama mimi mbowe alitakiwa kusema raisi haya mauaji unahusika wewe na policeccm wako...natoa maagizo soka na wenzie ndani ya masaa 24 awe ameachiwa,cdm wakikaa kwa kuongea tu watauawa sana...huyu mama ni evil kuliko jpm
 
Unawezaje kukubali mtu au watu kutumia jina lako vibaya bila idhini yako?
Kila mara watekaji na wauaji wamekuwa wakijitambulisha kuwa wao ni polisi, Je, kweli ni polisi? Kama siyo kwanini polisi hawakanushi na kuwasaka wahusika?
Hata hivyo kauli za baadhi ya viongozi hasa wa............ni hatari sana kwa Taifa, mfano Spika akiwa kwenye mkutano Mbeya anasema "Mtu yoyote atakayemsema vibaya Rais, Mbunge au diwani shughulikeni naye msimuache"
Je, Watanzania zaidi ya mil 60 wote wataweza kuwasema vizuri Rais, Wabunge na Madiwani?
Hata tume ya majaji kama itakuwepo bado nina mashaka nayo coz ni wateule!
Umoja ni nguvu!
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Duuh 😒
 
Kwa kasi ya G5 kiwango cha joto la uvumilivu wa raia kinazidi kupanda kwa spidi kali kabla ya kulipuka
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
20240827_054013.jpg

Hii ni mipango ya,chadema.
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Ki uhalisia.Embu ongeza nyama kidogo mkuu.
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
You must be very stupid.
 
Unawezaje kukubali mtu au watu kutumia jina lako vibaya bila idhini yako?
Kila mara watekaji na wauaji wamekuwa wakijitambulisha kuwa wao ni polisi, Je, kweli ni polisi? Kama siyo kwanini polisi hawakanushi na kuwasaka wahusika?
Hata hivyo kauli za baadhi ya viongozi hasa wa............ni hatari sana kwa Taifa, mfano Spika akiwa kwenye mkutano Mbeya anasema "Mtu yoyote atakayemsema vibaya Rais, Mbunge au diwani shughulikeni naye msimuache"
Je, Watanzania zaidi ya mil 60 wote wataweza kuwasema vizuri Rais, Wabunge na Madiwani?
Hata tume ya majaji kama itakuwepo bado nina mashaka nayo coz ni wateule!
Umoja ni nguvu!
Kama sio polisi kwanini hawakamatwi?
 
Umesahau tume ya Jaji Kipenka iliyomtaja Zombe na wahuni wenzake?
Shida ya miaka hii uchawa mwingi.
Enzi za akina Zombie unadhani mpaka muda huu Masauni angekuwa madarakani ama kuthubutu kunajisi msiba Kwa kuhudhuria?
Kipindi hicho Bunge lilikuwa halina uchawa uchawa mwingi.
Siku hizi hata majaji ni machawa chawa tuu uchawa mwingiii hata Lucas Mwashambwa ni chawa
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Ubongo wako upo matakoni wewe
 
HHow
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi

Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozh
 
Back
Top Bottom