Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni hivi, vyombo vya Dola navyo vitajieleza mbele ya Tume hiyoTume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hivi, vyombo vya Dola navyo vitajieleza mbele ya Tume hiyoTume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
Ni hivi, vyombo vya Dola navyo vitajieleza mbele ya Tume hiyo
Umri wako bado hujajuwa maana ya tume ya kijajiTume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
Umri wako bado hujajuwa maana ya tume ya kijaji
Maza hawezi kuunda maana anaelewa kila kituMbowe kachukia sana hadi kusema, serikali ikishindwa atawashauri wananchi wajilinde wenyewe, hii ni hatari, polisi hakikisheni mnafanyia kazi hayo tukifika huko ni mbaya sana
Hii ndiyo dawa yaoMasauni mwenyewe kaponea Tundu la Sindano, Bila Mbowe alikwish
Walaaniwe woteWatu mmeshachoka sana na haya mambo na kiukweli yanaudhi
Ondoa hiyo 'pepper spray', itakuondolea umakini katika kujilinda unako kuelezea hapa.Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.
HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.
Vifaa nilivyonavyo ni kwa ajili ya Self Defence.Ongeza na tindikali, kama ambayo wamemwagia Ally Kibao
Sio Chadema tena?!!UKWELI NI KUWA HAKUNA UKWELI UTAKAOPATIKANA ...KWA MAUWAJI H HAYA HATA. KABLA YA UNCLE HAJAFA....BALI WATATUMIA. MGONGO WA DOLA KUFICHA......... NEGATIVE ZAO
KUMBUKA HATA MTU BINAFSI ANAWEZA AJIRI WATU KWA AJIRI YA UUWAJI...KUSHAMBULIA.....KUMBUKENI MAGARI YALIYOPATIKANA NA PLATE NUMBER ZA STL. STK....YAMEBEBA WAHAMIAJI HARAMUUU KUMBUKENI HILOOOOO.....
Hapo kweli wamechemka! Wamechuma laana mbaya sana.Vijana kweli wamefikia hatua hio kisa tamaa za pesa?
Yaani unampiga ngumi, makofi, mateke hadi kumuua mzee kama huyo?
Hata hizo pesa mkilipwa hazina baraka yeyote bali ni laana tu..
Kama kuna jambo liende kisheria?
Millions mbili.Glock umenunua bei gani?
Kimlinganisho, ni bora zaidi ya huo uigizaji wa 'Chura Kiziwi'.Tume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
Tunaungana na wote wenye mapenzi mema kuikataa CCM na viongozi wao.Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemwambia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni kuwa amfikishie salamu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa anatakiwa kuunda Tume ya Kijaji ya Mahakama kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Nchini.
Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.
Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024
Ni ya serikal but operates out of circle ya laws zinavyotumika na hivi vyombo. Ni kama overwhatch, and report to president onlyTume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
It is a mistery....Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemwambia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni kuwa amfikishie salamu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa anatakiwa kuunda Tume ya Kijaji ya Mahakama kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Nchini.
Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.
Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kwani Zombe alitajwa na tume gani? Siyo ya Jaji Kipenka?Ila mbowe ndo tatizo Chadema kwakweli Leo alipaswa kukabidhi suala hili mikononi mwa umaaa. Majaji hao si wateule wa Raisi?
Angeshauri tuu vyombo vya nje vije vichunguze hiyo tume ya kijaji hata Leo jioni inaundwa
Umesahau tume ya Jaji Kipenka iliyomtaja Zombe na wahuni wenzake?Tume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?