Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

UKWELI NI KUWA HAKUNA UKWELI UTAKAOPATIKANA ...KWA MAUWAJI H HAYA HATA. KABLA YA UNCLE HAJAFA....BALI WATATUMIA. MGONGO WA DOLA KUFICHA......... NEGATIVE ZAO



KUMBUKA HATA MTU BINAFSI ANAWEZA AJIRI WATU KWA AJIRI YA UUWAJI...KUSHAMBULIA.....KUMBUKENI MAGARI YALIYOPATIKANA NA PLATE NUMBER ZA STL. STK....YAMEBEBA WAHAMIAJI HARAMUUU KUMBUKENI HILOOOOO.....
 
Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.

HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.
Ondoa hiyo 'pepper spray', itakuondolea umakini katika kujilinda unako kuelezea hapa.

Hakikisha hiyo 'Glock' haipo mbali nawe kila mara; na yeyote usiye mfahamu akisogea hatua tatu karibu nawe bila ya sababu, mpe onyo mara moja tu, basi.
Inabidi tuishi hivyo tu sasa.
 
UKWELI NI KUWA HAKUNA UKWELI UTAKAOPATIKANA ...KWA MAUWAJI H HAYA HATA. KABLA YA UNCLE HAJAFA....BALI WATATUMIA. MGONGO WA DOLA KUFICHA......... NEGATIVE ZAO



KUMBUKA HATA MTU BINAFSI ANAWEZA AJIRI WATU KWA AJIRI YA UUWAJI...KUSHAMBULIA.....KUMBUKENI MAGARI YALIYOPATIKANA NA PLATE NUMBER ZA STL. STK....YAMEBEBA WAHAMIAJI HARAMUUU KUMBUKENI HILOOOOO.....
Sio Chadema tena?!!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemwambia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni kuwa amfikishie salamu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa anatakiwa kuunda Tume ya Kijaji ya Mahakama kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Nchini.

Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.

Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024
Tunaungana na wote wenye mapenzi mema kuikataa CCM na viongozi wao.
 
Tume ya Kijaji ya Kimahakama sio serikali? Itafanya upelelezi yenyewe bila vyombo vya dola?
Ni ya serikal but operates out of circle ya laws zinavyotumika na hivi vyombo. Ni kama overwhatch, and report to president only

Namna gani wata conduct investigation, tume ina watu mle ambao ni former viongozi wa hizo taasis, na wa viongoz wa taasis nyingine
 
T
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemwambia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni kuwa amfikishie salamu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa anatakiwa kuunda Tume ya Kijaji ya Mahakama kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Nchini.

Amesema Tume hiyo ambayo itachunguza pia tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADAME, Ali Mohamed Kibao, akiongeza kuwa kuruhusu Polisi kufanya uchunguzu huku wao wakiwa wanashutumiwa halitakuwa jambo lenye manufaa.

Amesema hayo alipokuwa msibani Tanga, leo Septemba 9, 2024

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
It is a mistery....

Who will uncode the code?!!
 
Ila mbowe ndo tatizo Chadema kwakweli Leo alipaswa kukabidhi suala hili mikononi mwa umaaa. Majaji hao si wateule wa Raisi?
Angeshauri tuu vyombo vya nje vije vichunguze hiyo tume ya kijaji hata Leo jioni inaundwa
Kwani Zombe alitajwa na tume gani? Siyo ya Jaji Kipenka?
 
Back
Top Bottom