Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wewe muuaji umeandika uchafu gani huu?!Rukra makasiriko......I don't see kama hata magufuri alihusika na zile risasi...baliiii kunyamazishana ili kulinda Kila Moja kula yake ya ugali
Mmmmh Chadema wamefkia pabaya sana !! Kama wanaweza sumamisha basi mchana kweupe na wakaingia wakamchukua mtu na kumvalisha pingu huku watu wanashuhudia bas wamefkia pabaya sana,,hata jeshi la polisi haliwez kabsaa kuwaambia kituKi uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Mkuu wanachadema Wana uwezo wa kumteka mtu kwenye bus???Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Polisi wepi, lbd polisi jamii!polisi hakikisheni mnafanyia kazi hay
Masauni mwenyewe kaponea Tundu la Sindano, Bila Mbowe alikwishaMbowe kachukia sana hadi kusema, serikali ikishindwa atawashauri wananchi wajilinde wenyewe, hii ni hatari, polisi hakikisheni mnafanyia kazi hayo tukifika huko ni mbaya sana
Hawez kuwa muuaji huyo๐ ๐ ๐Wewe muuaji umeandika uchafu gani huu?!
Ni mropokajiHawez kuwa muuaji huyo๐ ๐ ๐
Hivi wangeweza mvamia wakati alikuwa na walinzi?Masauni mwenyewe kaponea Tundu la Sindano, Bila Mbowe alikwisha
Walinzi wale wangeufanya nini umati ule?Hivi wangeweza mvamia wakati alikuwa na walinzi?