Freeman Mbowe kapaki basi, kaamua kuwa mlinzi zaidi ya mshambuliaji

Freeman Mbowe kapaki basi, kaamua kuwa mlinzi zaidi ya mshambuliaji

Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
Pscl, speculations is no good story. Ungejikita ktk analysis ya political strategy ingependza zaidi. hadi kufikia miktano hiyo kuruhsiwa grudgingly bado unaamini ni kpitia hayo marushwa! yaani utawala wamefrahia miktano hiyo walokuwa wanaipinga miaka yote! yaani CCM wamwachie huru adui walokwsha mkamata na kizibiti mdomon! wamlipe hiki na kile na hata kumlipia starehe na posho mblmbl zinazomsaidia kuendesha Chama? what a joke!
mnyonge mnyongeni, lkn... Kubalini tu kuwa, pamoja na yote alopitia, hat kumchukia, Mbowe is a political strategist, ni moto wakuotea mbaaali. kubalini yaishe
 
Pscl, speculations is no good story. Ungejikita ktk analysis ya political strategy ingependza zaidi. hadi kufikia miktano hiyo kuruhsiwa grudgingly bado unaamini ni kpitia hayo marushwa! yaani utawala wamefrahia miktano hiyo walokuwa wanaipinga miaka yote! yaani CCM wamwachie huru adui walokwsha mkamata na kizibiti mdomon! wamlipe hiki na kile na hata kumlipia starehe na posho mblmbl zinazomsaidia kuendesha Chama? what a joke!
mnyonge mnyongeni, lkn... Kubalini tu kuwa, pamoja na yote alopitia, hat kumchukia, Mbowe is a political strategist, ni moto wakuotea mbaaali. kubalini yaishe
Nimekubali yaishe.
P
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
Mataga halisi wewe katika ubora wako.
 
Kuonesha kua mwenyekiti wetu ana jambo gumu linalimsibu, juzi juz kapanda jukwaani akiwa 'njwii' na Jana kaomba radhi kauli yake ya kuwaita mama zetu 'mademu'

Namkubali mwenyekiti, ila zama zake zimeisha. Ni muda sasa wa kuwakabidhi maono watu wengine, uzuri ni kua hataondoka masikini pale kitini, tayari ameshaketi na wakubwa na kunywa nao kahawa ya thamani sana pale jumba jeupe.

Upumbuvu na ujinga ni kuwaza kutatua matatizo yale yale kwa mbinu zile zile zilizoshindwa. Tumuambie ukweli mwenyekiti muda ni ukuta.
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
Kwa hiyo ulitaka Mbowe akatukane watu jukwaani? Ulipoitwa Bungeni hukuwa na Chama. Baada ya hapo ukaanza kuwa mgombea wa CCM ukiwa unapata kura moja moja kila unapogombea, halafu kimyaaa. Why hujawa mpinzani kama unadhani ni kazi ndogo?
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
Nasubiri wenye CHADEMA waje wakushukie kama mwewe P.
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
HUyu atakuwa clone wa paskali siyo yule mchambuzi tunayemfahamu. Hii cloning imekosewa kwenye ubongo!
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?

Unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?
P
Never expected this kind of analysis from a prominent Journalist like you
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?

Unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?
P
Huyu ndio Pascal Mayalla ninaemjua mimi.

Nimemaliza.
 
Kuonesha kua mwenyekiti wetu ana jambo gumu linalimsibu, juzi juz kapanda jukwaani akiwa 'njwii' na Jana kaomba radhi kauli yake ya kuwaita mama zetu 'mademu'

Namkubali mwenyekiti, ila zama zake zimeisha. Ni muda sasa wa kuwakabidhi maono watu wengine, uzuri ni kua hataondoka masikini pale kitini, tayari ameshaketi na wakubwa na kunywa nao kahawa ya thamani sana pale jumba jeupe.

Upumbuvu na ujinga ni kuwaza kutatua matatizo yale yale kwa mbinu zile zile zilizoshindwa. Tumuambie ukweli mwenyekiti muda ni ukuta.
Orodhesha mbinu mpya hapa watu wajifunze
 
Heshimuni maoni ya chawa wa mama
Kuna watu kuwaita Chawa wa Mama ni kama kuwatukana!. The difference between chawa na watu wengine, chawa kazi yake ni kusifu tuu!, mimi ni critical, mazuri nitasifu, mabaya nita criticise!.
P
 
Baada ya kuondolewa zuio haramu la mikutano ya kisiasa, alichokifanya Mbowe katika ufunguzi kwa kumsifia Rais Samia badala ya kujikita katika hoja za kushambulia ni mkakati wa kisiasa wa aina yake.

Ukitizama vizuri baada ya mkutano wa kwanza wa CHADEMA Mwanza, MATAGA ndilo kundi linaloonekana kuchukizwa zaidi kuliko watu wengine katika hizi hatua za awali.

Nawaelewa mataga, kwamba walitaka Mbowe na CHADEMA wafanye kazi ya mashambulizi ya jukwaani kwa Samia na CCM asilia, Mbowe kajiepusha na hilo na sasa wamefura.

Sababu kubwa ya kufura kwa MATAGA ni kwa kuwa wao MATAGA hawana jukwaa la wazi la kuelekeza mashambulizi kwa CCM asilia na hasa Rais Samia. Jukwaa walilo nalo ni mitandao ya kijamii tu wakiwa katika ID za kujificha na hivyo kubaki kuwa "keyboard warriors". Walitegemea kazi hiyo kufanywa na Mbowe zaidi hivyo amewaangusha sana.

Mbowe inawezekana kang'amua shauku ya MATAGA, wote wasiopenda maridhiano na wanafuika wa siasa za uhasana na hivyo kawaacha CCM wacheze wenyewe katika nusu yao ya kiwanja huku yeye "akipaki bus" kwa matumaini watafanya makosa wenyewe wajifunge au CDM watafanya shambulizi la kushitukiza na kuwafunga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?

Unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?
P
Mbowe sio kanjanja kama wewe mwenye njaa. Huyo kuzaliwa kwenye hela na anayo Jax yakushanta sio wewe njaa Kali wa Ihayabuyaga.
 
Khaaaaa!!!!msukuma una maneno ww
Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?

Unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?
P
 
Back
Top Bottom