Pscl, speculations is no good story. Ungejikita ktk analysis ya political strategy ingependza zaidi. hadi kufikia miktano hiyo kuruhsiwa grudgingly bado unaamini ni kpitia hayo marushwa! yaani utawala wamefrahia miktano hiyo walokuwa wanaipinga miaka yote! yaani CCM wamwachie huru adui walokwsha mkamata na kizibiti mdomon! wamlipe hiki na kile na hata kumlipia starehe na posho mblmbl zinazomsaidia kuendesha Chama? what a joke!Asante kwa uzi huu, huu ni mwanzo wa politics of reconciliation badala ya politics of confrontations. Mtu ukabiliwe na kesi mbaya, mahakama isikilize preliminary hearing, ukutwe na prima facie, ila mara DPP aifute kwa Nolle!. Unatoka gerezani a free man unakwenda Ikulu kushukuru!. Huko Ikulu unaulizwa unashida gani?, unalia shida, fedha za uendeshaji, fedha za vikao, fedha za trips za mamtoni na mambo mengine madogo madogo, unapewa!. Vikao vinafanyika, unapiga trips, usikute hata gharama za kuanza upya mikutano ya hadhara umelipiwa!. Kwanini usipaki gari?.
P
mnyonge mnyongeni, lkn... Kubalini tu kuwa, pamoja na yote alopitia, hat kumchukia, Mbowe is a political strategist, ni moto wakuotea mbaaali. kubalini yaishe