Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Huyu mzee nachelea kusema anazeeka vbaya
Haya ni mawazo yako binafsi, yaheshimiwe, japo yamejaa hisia zaidi ya uhalisia..!!
Mbowe kumsifia Samia kutaonekana jambo la ajabu kwa walio waoga, wale wachanga wa siasa, wanaodhani umaarufu wa Chadema uliojengwa kwa miaka mingi, unaweza kufutwa kwa tukio moja la Mbowe kumsifia Samia..
Hapa naomba pia niruhusu nikuite mnafiki, kwasababu pale juu umeandika siasa za confrontation hazina maana, pengine kwenye uzi mwingine ukaandika; "Samia akifanya jema asifiwe", sasa hapa iweje kwako Mbowe kumsifia Samia ionekane ni asante ya kutolewa gerezani, na sababu nyingine nyingi ulizoandika zisizo na maana kama michango kwa chama?