Freeman Mbowe kapaki basi, kaamua kuwa mlinzi zaidi ya mshambuliaji

Huyu mzee nachelea kusema anazeeka vbaya
 
Hawa nao Wata jificha kwenye kichaka cha kumsema alie tangulia badala ya aliepo wanazani watanzania hatuna akili ..yaliyo pita haya tuhusu kwa sasa
 
Umezoea shari siyo. Ulitaka atumie lugha ya kuudhi arudi ndani? Jaribu wewe, nyie kazi yenu ni km uchochezi sijui mmeshiba amani. Ulisubiri lugha za matusi. We una mapepo ukaombewe
 
Huyu kiazi ndio ameandika haya!!!!.

Mayalla kweli ni njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…