Freeman Mbowe kufanya ziara Hanang yenye lengo la kutoa Rambirambi kwa Wahanga

Freeman Mbowe kufanya ziara Hanang yenye lengo la kutoa Rambirambi kwa Wahanga

Ila kuna watu ni kama vile wana mimba za viongozi wa chama fulani, chama chake kikifanya jambo fulani bc ataifanya hy habari kuwa kubwa lkn chama kingine kikifanya jambo hilo hilo atalaani chama hicho
Mimi ninalaani CCM kuhodhi misaada inayotolewa na serikali na kuigawa kama vile wameitoa wao, yale ya wanafunzi wa Arusha na Gambo yatajirudia Hanang.
 
Taarifa iliyotolewa na Chama Chake hii hapa .

View attachment 2834571
Mungu Mkubwa. Kelele zetu zimesikika. Sio kelele kwenye DP WORLD tu watu wanakufa mko kimya. Bado na mwambieni na Mwambukusi na mwenzake Mdude wasimsahau na Askofu ( Ahahahahaha, eti Askofu) Mwamakula nao waende wawape pole wahanga wa Hanang! Madeleka atajijua. Akitaka aende, akitaka aache. Kutoka Arusha tu nae aambiwe?
 
Mungu Mkubwa. Kelele zetu zimesikika. Sio kelele kwenye DP WORLD tu watu wanakufa mko kimya. Bado na mwambieni na Mwambukusi na mwenzake Mdude wasimsahau na Askofu ( Ahahahahaha, eti Askofu) Mwamakula nao waende wawape pole wahanga wa Hanang! Madeleka atajijua. Akitaka aende, akitaka aache. Kutoka Arusha tu nae aambiwe?
Umerukwa na akili ?
 
Ingependeza angeenda kesho uso kwa uso na samiaa itakuwa tukio Kali Sanaa

Sipati picha kesho namuona samiaa na buti wakizunguka Huku na kule kuona uharibifu Huku mbowe nae akizunguka Hulu na kule kuona uharibifu na timu Yale

Kesho tunachotaka hakuna mkutano Wala nin Ni samiaa kuvaa buti kuingia mtaani kuwapa wananchi pole siyo Mambo yakwenda kufanya mkutano
Kalamba asali mwenyekiti wenu.

Na mkuu umekomaa bi mkubwa apite nyumba kwa nyumba kisa mama Ako mkwe mhanga
 
Makamanda waishaingia Manyara

Screenshot_2023-12-07-12-37-29-1.png
Screenshot_2023-12-07-12-37-12-1.png
 
Back
Top Bottom