Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mimi ninalaani CCM kuhodhi misaada inayotolewa na serikali na kuigawa kama vile wameitoa wao, yale ya wanafunzi wa Arusha na Gambo yatajirudia Hanang.Ila kuna watu ni kama vile wana mimba za viongozi wa chama fulani, chama chake kikifanya jambo fulani bc ataifanya hy habari kuwa kubwa lkn chama kingine kikifanya jambo hilo hilo atalaani chama hicho
Vyama vyote ni matapeli tuuMimi ninalaani CCM kuhodhi misaada inayotolewa na serikali na kuigawa kama vile wameitoa wao, yale ya wanafunzi wa Arusha na Gambo yatajirudia Hanang.
Mungu Mkubwa. Kelele zetu zimesikika. Sio kelele kwenye DP WORLD tu watu wanakufa mko kimya. Bado na mwambieni na Mwambukusi na mwenzake Mdude wasimsahau na Askofu ( Ahahahahaha, eti Askofu) Mwamakula nao waende wawape pole wahanga wa Hanang! Madeleka atajijua. Akitaka aende, akitaka aache. Kutoka Arusha tu nae aambiwe?
Umerukwa na akili ?Mungu Mkubwa. Kelele zetu zimesikika. Sio kelele kwenye DP WORLD tu watu wanakufa mko kimya. Bado na mwambieni na Mwambukusi na mwenzake Mdude wasimsahau na Askofu ( Ahahahahaha, eti Askofu) Mwamakula nao waende wawape pole wahanga wa Hanang! Madeleka atajijua. Akitaka aende, akitaka aache. Kutoka Arusha tu nae aambiwe?
Kalamba asali mwenyekiti wenu.Ingependeza angeenda kesho uso kwa uso na samiaa itakuwa tukio Kali Sanaa
Sipati picha kesho namuona samiaa na buti wakizunguka Huku na kule kuona uharibifu Huku mbowe nae akizunguka Hulu na kule kuona uharibifu na timu Yale
Kesho tunachotaka hakuna mkutano Wala nin Ni samiaa kuvaa buti kuingia mtaani kuwapa wananchi pole siyo Mambo yakwenda kufanya mkutano
Kinachokuuma ni nini?Hii kauli huwa ni ya Kipumbavu!
Mmekuwa mkisema nchi itasimama miaka dahari sasa!
Na nchi haijawahi kusimama!
Je utakula ubwabwa hukoo?Kama msemaji wa chauma,soon tutatoa ratiba ya kiongozi wetu ndugu Hashim Rungwe, hongera wadogo zetu Chadema kwa kutangulia
kwamba anataka kulipua mochwari ?Gaidi Hanang
Kauli mbiu ni kuhakikisha wanakula ubwabwa mkuuJe utakula ubwabwa hukoo?
Ila Lucas washamba amesha chomoa betri huko,anasema hakuna kwenda kula ubwabwa,sasa itakuwaje.Kauli mbiu ni kuhakikisha wanakula ubwabwa mkuu