Mwami Ntale
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 855
- 2,264
Sikuwahi kujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki[emoji15].Mwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwahi kujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki[emoji15].Mwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Ungenielekeza ili niwe sehemu ya tukio,niko mikocheni mita 200 na kwa nyumbani kwa mwenyekitiUsiondoke JF kwa taarifa kamili
Uko sahihi sana
FaizaFoxy ni mwislamu🐼Sikuwahi kujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki[emoji15].
Faiza Mzee mwenzangu nikuoe Tu upunguze manenoMwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Kwanini nisiumie miaka 22 ruzuku tunapokea Act wazalendo juzi tu wameshusha kitu Cuf wanalo hekalu la buguruni tumekosa nini sisi bora hata tungefanyia kule machame!Pole sana kwa maumivu
Ruzuku ya chama mbowe anejengea magorofa, huku ofisi zikiwa hoiKwanini nisiumie miaka 22 ruzuku tunapokea Act wazalendo juzi tu wameshusha kitu Cuf wanalo hekalu la buguruni tumekosa nini sisi bora hata tungefanyia kule machame!
Inasikitisha sana wamekuwa mabubu hawawezi kuhoji!Ruzuku ya chama mbowe anejengea magorofa, huku ofisi zikiwa hoi
Kwa hiyo mmetufisi hoja ya kuwaambia mjenge ofisi zenu na kwamba mnakula ruzuku huku ofisi zikiwa za hovyo pale Ufipani?View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
TumeteswaKwahyo sio ufipa tena ni mikochezi🤣 wale wa lumumba mmesikia hiyoo
Wewe yawezekana mdomo wako unakuwa kama nguruwe anapojisaidia, lakini hujijui!Mwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Ni mwislamu huyoFaiza Mzee mwenzangu nikuone Tu upunguze maneno
Asante sana kwa taarifa hii, hii sio ya kukosa, haswa kwa kuzingatia ni ukumbi wa kisasa wenye live streaming facilities.Mwenyekiti wa Chadema atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Tuma na tu picha twa hayo makao makuu mapya tuyaone. Haya ni maendeleo pia toka Ufipa hadi Mikocheni.View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
zilipendwaView attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Funga domo lako kaa niniliu ya kitimotoMwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.