Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

Pole sana kwa maumivu
Kwanini nisiumie miaka 22 ruzuku tunapokea Act wazalendo juzi tu wameshusha kitu Cuf wanalo hekalu la buguruni tumekosa nini sisi bora hata tungefanyia kule machame!
 

Attachments

  • 20231215_140742.jpg
    20231215_140742.jpg
    31.3 KB · Views: 3
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Kwa hiyo mmetufisi hoja ya kuwaambia mjenge ofisi zenu na kwamba mnakula ruzuku huku ofisi zikiwa za hovyo pale Ufipani?
 
Mwenyekiti wa Chadema atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Asante sana kwa taarifa hii, hii sio ya kukosa, haswa kwa kuzingatia ni ukumbi wa kisasa wenye live streaming facilities.
Tunasubiria kwa hamu.
P
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Tuma na tu picha twa hayo makao makuu mapya tuyaone. Haya ni maendeleo pia toka Ufipa hadi Mikocheni.
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
zilipendwa
 
Back
Top Bottom