Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Mwashambwa anatamani ata Mbowe ashikwe na Tumbo la kuhara ghafla ili asihutubie taifa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Hii habari si njema kwa Lucas mwashambwa uwenda mimba yake ikahitaji ukwaju.
 
naisubiri hutuba ya mwenyekiti

natumaini itakua ya unyenyekevu na staha ya hali ya juu
 
Kesho Majira ya saa Tano Asubuhi, Jumamosi Januari 13, 2024 Kamanda wa Anga na kipenzi wa Watanzania Freeman Mbowe atazungumza na Wananchi wenzake kupitia vyombo mbalimbali vya habari kutoka makao makuu mpya ya CHADEMA-Mikocheni Dar. Hii si ya kukosa

PPESS CONFERENCE.JPG
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Waambie hao visonono wa Lumumba kuwa sasa cdm tuna ofisi ya viwango.

Tena ni mali halali ya wana cdm siyo ya dhulma kama wana kijani.
 
Back
Top Bottom