Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
mama katoa milion mia zingine wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachokusikitisha ni nn weee uvccm???Inasikitisha sana wamekuwa mabubu hawawezi kuhoji!
Na bado mpk msemeKwa hiyo mmetufisi hoja ya kuwaambia mjenge ofisi zenu na kwamba mnakula ruzuku huku ofisi zikiwa za hovyo pale Ufipani?
Ni kuwa bado chadema tu miaka 22 hakitembei wala kukimbia!Kinachokusikitisha ni nn weee uvccm???
Kwamba kwa kuwa ni Mwislamu upumbavu unaruhusiwa wewe johnthebaptist vipiFaizaFoxy ni mwislamu🐼
Mwashambwa anatamani ata Mbowe ashikwe na Tumbo la kuhara ghafla ili asihutubie taifa!View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Labda amloge kwa kutumia mbinu za kwaoMwashambwa anatamani ata Mbowe ashikwe na Tumbo la kuhara ghafla ili asihutubie taifa!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
HakikaStay tuned HAPA HAPA.......Taifa linaongea kesho....
Hujawahi kuwa na macho ya akili hivyo huwezi kuonaNi kuwa bado chadema tu miaka 22 hakitembei wala kukimbia!
Hii habari si njema kwa Lucas mwashambwa uwenda mimba yake ikahitaji ukwaju.View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Mbona ya kuku kama yakwako tu,au yakwako Ina Kona!!?Mwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Hii ofisini inawalaza na viatu mnataka kubwa si mtakimbilia burundiKwanini nisiumie miaka 22 ruzuku tunapokea Act wazalendo juzi tu wameshusha kitu Cuf wanalo hekalu la buguruni tumekosa nini sisi bora hata tungefanyia kule machame!
Hii si ya kukosaMbowe typing error mkuuMBOYE NI NN?
Waambie hao visonono wa Lumumba kuwa sasa cdm tuna ofisi ya viwango.View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Jamaa ni wachawiCCM wanakasirika