Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ee baba tupe habari. Au napo watakuja akina Awadhi?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.
Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania
Ulaaniwe!Mwenyekiti anaachia madaraka .?
Saa 9 soma vizuri kwenye picha kuliaSaa ngapi ??Niwe full charge?
Bilashaka mada kuu itakua ni Rushwa iliyokithiri chadema inayolalamikiwa sana na Makamu mwenyekiti taifa wa chama hicho 🐒Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.
Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.
Soma Pia:
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Usihangaike na wajingaUlaaniwe!
Oooòvyo!Katika watu wanasikilizwa ni mwshimiwa mbowe yani hata mama abduli anajificha chooni kumsikiliza
Mabalozi wa nchi kwenda katika mkutano wa kiongozi wa chama cha upinzani ?!! CrapMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.
Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.
Soma Pia:
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Nchi omba omba inawezaje kupata ujasiri wa kufukuza balozi?Mabalozi wa nchi kwenda katika mkutano wa kiongozi wa chama cha upinzani ?!! Crap
Hakuna balozi atakayefanya hivyo....na ikitokea akawa zwazwa wa kihivyo basi atakuwa amevunja DIPLOMASIA na lazima afukuzwe haraka nchini......
#Nchi Kwanza[emoji7]
Unadhalilika ukiwa wapi?RBC punguza TUI katika mboga [emoji1787][emoji1787]
Yaani Mbowe ahutubie dunia kutokea "ufipani"[emoji1787]
Leo "ufipani" kumekuwa baraza kuu la umoja wa mataifa(UN ASSEMBLY) pale NY ?!!!
Fikra hizi ni mfu....wanaohutubia mataifa ni wawakilishi wa mataifa....sasa komredi Mbowe ametumwa na dola gani kuiwakilisha ?!! [emoji1787][emoji1787]
Diploma ya SUA ni sawa na diploma ya chuo cha DSJRBC punguza TUI katika mboga [emoji1787][emoji1787]
Yaani Mbowe ahutubie dunia kutokea "ufipani"[emoji1787]
Leo "ufipani" kumekuwa baraza kuu la umoja wa mataifa(UN ASSEMBLY) pale NY ?!!!
Fikra hizi ni mfu....wanaohutubia mataifa ni wawakilishi wa mataifa....sasa komredi Mbowe ametumwa na dola gani kuiwakilisha ?!! [emoji1787][emoji1787]
Huyo jamaa ni mjinga sanaDiploma ya SUA ni sawa na diploma ya chuo cha DSJ