Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam

Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam

Nchi omba omba inawezaje kupata ujasiri wa kufukuza balozi?
Kumbe wewe ni "maimuna" wa mambo mtambuka eee?!!![emoji1787][emoji1787]

Hujui kuwa Tanzania imeshawahi kuwakataa mabalozi wengi tu....kuwafukuza wengi tu....

Aaagh tajiriii weeee [emoji1787][emoji1787]
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

CHADEMA msiendelee kuwa Wajinga miaka nenda rudi, punguzeni maneno mengi anzeni kuongea kwa vitendo.

"Actions speak louder than words."

Nafikiri nimeeleweka.
 
RBC punguza TUI katika mboga [emoji1787][emoji1787]

Yaani Mbowe ahutubie dunia kutokea "ufipani"[emoji1787]

Leo "ufipani" kumekuwa baraza kuu la umoja wa mataifa(UN ASSEMBLY) pale NY ?!!!

Fikra hizi ni mfu....wanaohutubia mataifa ni wawakilishi wa mataifa....sasa komredi Mbowe ametumwa na dola gani kuiwakilisha ?!! [emoji1787][emoji1787]
Kuguswa tu Amnesty international wamejua siyo Dunia?
 
Updates

View: https://m.youtube.com/watch?v=5kdtvUsnKV0
Erythrocyte
Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Kamati Kuu ya CHADEMA ilikuwa bado haijatoa tamko la maazimio ya robo ya mwaka ya kikao chake cha kawaida wiki iliyopita, halafu CCM wametibua pakubwa kwa kuteka wanachama wa CHADEMA 520 nchi kote Tanzania ....
Tarehe 11 Agosti 2024 Chama dola kongwe wamejipalia makaa ya moto kwa kutumia vyombo vya dola kutimiza uhalifu wao wa kisiasa lengo kudhoofisha mchakato na mfumo mzima wa uchaguzi wa haki, huru ulio wa kidemokrasia.

CCM na serikali yake ikitaka iwe ktk hali ya utulivu basi kuanzia sasa toka Siku hii ya Vijana Duniani 12 Agosti 2024 kwenda mbele Katiba mpya lazima, tume huru ya Uchaguzi lazima, Makongamano, maandamano kabla ya uchaguzi wa TAMISEMI 2024 na uchaguzi wa 2025
 
Kamati Kuu ya CHADEMA ilikuwa bado haijatoa tamko la maazimio ya robo ya mwaka ya kikao chake cha kawaida wiki iliyopita, halafu CCM wametibua pakubwa kwa kuteka wanachama wa CHADEMA 520 nchi kote Tanzania ....

Tarehe 11 Agosti 2024 Chama dola kongwe wamejipalia makaa ya moto kwa kutumia vyombo vya dola kutimiza uhalifu wao wa kisiasa lengo kudhoofisha mchakato na mfumo mzima wa uchaguzi wa haki, huru ulio wa kidemokrasia.

CCM na serikali yake ikitaka iwe ktk hali ya utulivu basi kuanzia sasa toka Siku hii ya Vijana Duniani 12 Agosti 2024 kwenda mbele Katiba mpya lazima, tume huru ya Uchaguzi lazima, Makongamano, maandamano kabla ya uchaguzi wa TAMISEMI 2024 na uchaguzi wa 2025
Hakika
 
CHADEMA msiendelee kuwa Wajinga miaka nenda rudi, punguzeni maneno mengi anzeni kuongea kwa vitendo.

"Actions speak louder than words."

Nafikiri nimeeleweka.
Unaeleweka. Lakini jaribu kutambua shida ilipo.
Hawa hawa hapo Ubungo walikoswa koswa, wakati akina Aquilina wanajikuta uhai unatolewa bila kujuwa..
Hilo na mengine mengi ni ushahidi tosha.

Acha waende hivyo hivyo taratibu, kuna siku bomu litalipuka tu kwa mwendo wa aina hii tulio nao sasa.

Usifikiri CHADEMA hawajui.
 
CCM na serikali yake ikitaka iwe ktk hali ya utulivu basi kuanzia sasa toka Siku hii ya Vijana Duniani 12 Agosti 2024 kwenda mbele Katiba mpya lazima, tume huru ya Uchaguzi lazima, Makongamano, maandamano kabla ya uchaguzi wa TAMISEMI 2024 na uchaguzi wa 2025
Huu muujiza utatokea vipi?

Ukiondoa uwezekano wa wananchi wenyewe kulipuka 'spontaneously' kuanzia sasa na kwenda mbel;, tayari CCM wamekwisha maiza kazi ya kujihakikishia kuendelea hadi 2030. Hili nalisema kwa moyo mzito sana, lakini ukweli wenyewe ndio huo.
Humo njiani kuanzia 2025 wanaweza kukutana na vigingi chungu nzima wasifike 2030. Lakini 2025? Hawana upinzani.
 
1723596967430.png
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Ataandamana na mabwana za chadema
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Safi
 
Mabalozi wa nchi kwenda katika mkutano wa kiongozi wa chama cha upinzani ?!! Crap

Hakuna balozi atakayefanya hivyo....na ikitokea akawa zwazwa wa kihivyo basi atakuwa amevunja DIPLOMASIA na lazima afukuzwe haraka nchini......

#Nchi Kwanza[emoji7]
Mkuu unaishi ulimwengu upi?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Mwamba ambaye chama chake kinaogopa na kila system.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Sugu ameona Mbeya ndiyo mahali pa kufanyia mikutano ya hovyo na maandamano?

Hivi anadhani akina Mbowe hawana sehemu Moshi na Hai za kufanyia hii mikusanyiko ya HOVYO?

Hili jitu fupi toka Ludewa limepata mshahara wake linaoustahili. Miaka 2010-20 amekuwa Mbunge wa Hoya Hoya masela. Mbeya imezidiwa na Manispaa za Morogoro na Iringa kwa sababu tulikuwa na mbunge wa kushinda vijiweni. Hajitambui, kazi kushindana na watawala tu.
 
Back
Top Bottom