Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam

Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam

Haters mna haha....kwani maandamano ni dhambi au hofu yenu?
Sugu ameona Mbeya ndiyo mahali pa kufanyia mikutano ya hovyo na maandamano?

Hivi anadhani akina Mbowe hawana sehemu Moshi na Hai za kufanyia hii mikusanyiko ya HOVYO?

Hili jitu fupi toka Ludewa limepata mshahara wake linaoustahili. Miaka 2010-20 amekuwa Mbunge wa Hoya Hoya masela. Mbeya imezidiwa na Manispaa za Morogoro na Iringa kwa sababu tulikuwa na mbunge wa kushinda vijiweni. Hajitambui, kazi kushindana na watawala tu.
 
Haters mna haha....kwani maandamano ni dhambi au hofu yenu?
Kwa nini hayo maandamano wasifanye Hai na Moshi? Wanaleta Mbeya tu ili kutuharibia uchumi wetu. Wakipata ruzuku wanarudi kujenga kwao kama Mbowe alivyojenga jumba lake
 
Mabalozi wa nchi kwenda katika mkutano wa kiongozi wa chama cha upinzani ?!! Crap

Hakuna balozi atakayefanya hivyo....na ikitokea akawa zwazwa wa kihivyo basi atakuwa amevunja DIPLOMASIA na lazima afukuzwe haraka nchini......

#Nchi Kwanza[emoji7]
Wazungu siyo Wajinga kama sisi! Watafuatilia.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Tunasubiri kwa hamu kumsikia kiongozi wetu.
 
Kamati Kuu ya CHADEMA ilikuwa bado haijatoa tamko la maazimio ya robo ya mwaka ya kikao chake cha kawaida wiki iliyopita, halafu CCM wametibua pakubwa kwa kuteka wanachama wa CHADEMA 520 nchi kote Tanzania ....

Tarehe 11 Agosti 2024 Chama dola kongwe wamejipalia makaa ya moto kwa kutumia vyombo vya dola kutimiza uhalifu wao wa kisiasa lengo kudhoofisha mchakato na mfumo mzima wa uchaguzi wa haki, huru ulio wa kidemokrasia.

CCM na serikali yake ikitaka iwe ktk hali ya utulivu basi kuanzia sasa toka Siku hii ya Vijana Duniani 12 Agosti 2024 kwenda mbele Katiba mpya lazima, tume huru ya Uchaguzi lazima, Makongamano, maandamano kabla ya uchaguzi wa TAMISEMI 2024 na uchaguzi wa 2025
Keyboard warriors
 
Unaeleweka. Lakini jaribu kutambua shida ilipo.
Hawa hawa hapo Ubungo walikoswa koswa, wakati akina Aquilina wanajikuta uhai unatolewa bila kujuwa..
Hilo na mengine mengi ni ushahidi tosha.

Acha waende hivyo hivyo taratibu, kuna siku bomu litalipuka tu kwa mwendo wa aina hii tulio nao sasa.

Usifikiri CHADEMA hawajui.
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Martin Luther King Jr
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Kulia lia na kulalamika kumetosha sasa!
Kuacha legacy Mbowe aitishe maandamano ya amani.
Kama hawezi akae pembeni!
Polisi hawajawai kuwa na risasi za kuua waandamanaji wote!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Kulia lia na kulalamika kumetosha sasa!
Kuacha legacy Mbowe aitishe maandamano ya amani.
Kama hawezi akae pembeni!
Polisi hawajawai kuwa na risasi za kuua waandamanaji wote!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Sema muhuni tapeli jizi na fisadi mbowe usije kuthubutu kumuita mheshimiwa Mbowe huyu dikteta
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.

Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Soma Pia:

Mwenyekiti wa kudumu, ayatollah,king'ang'a,kupe ,ruba ,wakati ndio huu mbowe awaachie wengine alipoifikisha chadema inatosha
 
Habari za asubuhi wanajamvi.
Rostam Azizi amekuwa anajulikana kama "KING MAKERS "
Mitandao yote iliyowaangiza JK,na Lowasa mpaka alipokwenda CHADEMA nyuma yake ni Rostam Azizi.

Rostam Aziz amemuhakikishia Mama kuwa hakuna lolote mama atamaliza Muda wake mpaka 2030 kwa lengo la wao kuingiza mtu wao 2030.

Rostam anajinasibu kuwa na team ya chama tawala Iko upande wake ameratibu yeye mpaka Jasus kurudi Latin America na kuja kushika utendaji.

Tukumbuke pia Jasusi ni team Moja na Rostam,na Sophia Simba ambao walitengwa na mwendazake.

Team Lowasa ingalipo na inajivunia kushika uongozi wa chama na kuwadharau wastaafu ambao wanaonekana wana nguvu team msoga.
Ndo maana wamefanya fitna , Mosi kumuondoa Makonda uenezi,pili kuwaondoa Mapacha BUMBULI & MTAMA.

Kwa mbaali mabadiliko ya Jumba kuu Karibu na Saint Peter's Kanisani engineer ni huyo mbunge wa zamani Super Mogul ambaye Saa 💯 alikwenda naye ziara mbalimbali mintarafu ile ya kwa Poppe Fransisco Vatican.

Rais Samia, Rostam hana nguvu yoyote kumshinda Jakaya Mrisho kikwete.

Kikwete ni influencial figure kwa sasa ndani ya Chama na ndani ya Serikali.
Yeye mpaka sasa anakuwa the the remained most current outgoing president.

Mtindo wa kikwete ni WA kunyamaza kimyaaa kama hayupo, lakini kama tujuavyo kimyaa kina mshindo.

Jaribio la Mwisho la kuondoka kwa Kinana ni gumu kuliko mengine yote.
Kinana kwa sasa anakuwa mmoja ya watu ambao wanajua serikali vizuri na chama vizuri,ameshika nafasi nyeti wakati wa wa Marais wote, Nyerere, Mwinyi, Mkapa , kikwete, na wewe Mwenyewe.

Kinana sio mtu kuwa dumped kwa mtindo wa Job Yustin Ndugai.
Unahitaji zaidi mshikamano, kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa, na uchaguzi mkuu mwakani.

Rostam Azizi kwa Wakati huu hana lolote hana nguvu, ukumbuke this time (MABAKAMABAKA) na baadhi ya taasisi zinaenda kuwa neutral.
Wanasubiri wakati sahihi, ili wa sett tone sahihi.
Kama opossition watashinda ubunge na Urais itabaki kuwa hivyo no changes hakuna kubebwa mtu

Hawaridhiki na minada ya maliasili na rasilimali za Tanganyika kuuzwa kwa wajomba.
Kuwa makini na huyo Raia wa Tanzania/Iran.
ambaye watanzania hawamjui wala kumuona direct akishiriki siasa, lakini ndiye anayepiga NGOMA inayochezwa sasa nchini.

Nandagala one, kwa sasa Safarini Ukerewe.
Quote ReplyReport Edit Delete
1 of 6
Next
Last


Post reply

Attach files

Insert quotes…
Similar Discussions
Kamanda Asiyechoka
Kuelekea 2025 Freeman Mbowe atoa tamko. Alaani kukamatwa kwa viongozi na vijana wa CHADEMA
Started by Kamanda Asiyechoka Sunday at 12:27 PM Replies: 17
Jukwaa la Siasa
Polisi yatoa taarifa ya kukamatwa kwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA, wawataka kufuata sheria
Started by Cute Wife Yesterday at 9:18 PM Replies: 3
Jukwaa la Siasa
Roving Journalist
Kuelekea 2025 John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
Started by Roving Journalist Yesterday at 3:27 AM Replies: 36
Jukwaa la Siasa
Kuelekea 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
Started by Quinine Yesterday at 2:02 AM Replies: 205
Jukwaa la Siasa
Roving Journalist
Kuelekea 2025 Polisi: Hatujazuia mikutano ya ndani wala ya hadhara, tumezuia mkusanyiko wa Viongozi wa CHADEMA
Started by Roving Journalist Yesterday at 4:35 AM Replies: 49
Jukwaa la Siasa
Share
Jukwaa la Siasa
Contact us Terms Privacy Policy Help
Your content Subscribed threads Subscribed forums News feed Your profile Preferences
Forums
New posts
Post thread
Back
 
Huu muujiza utatokea vipi?

Ukiondoa uwezekano wa wananchi wenyewe kulipuka 'spontaneously' kuanzia sasa na kwenda mbel;, tayari CCM wamekwisha maiza kazi ya kujihakikishia kuendelea hadi 2030. Hili nalisema kwa moyo mzito sana, lakini ukweli wenyewe ndio huo.
Humo njiani kuanzia 2025 wanaweza kukutana na vigingi chungu nzima wasifike 2030. Lakini 2025? Hawana upinzani.
Nilimsikia juzi Samia anazungumza kuwa 2030 atakapomalizia na kurudi Kizimkazi, ina maana 2025 itakuwa maigizo tu kama alivyofanya maigizo ya 4R.
 
Habari za asubuhi wanajamvi.
Rostam Azizi amekuwa anajulikana kama "KING MAKERS "
Mitandao yote iliyowaangiza JK,na Lowasa mpaka alipokwenda CHADEMA nyuma yake ni Rostam Azizi.

Rostam Aziz amemuhakikishia Mama kuwa hakuna lolote mama atamaliza Muda wake mpaka 2030 kwa lengo la wao kuingiza mtu wao 2030.

Rostam anajinasibu kuwa na team ya chama tawala Iko upande wake ameratibu yeye mpaka Jasus kurudi Latin America na kuja kushika utendaji.

Tukumbuke pia Jasusi ni team Moja na Rostam,na Sophia Simba ambao walitengwa na mwendazake.

Team Lowasa ingalipo na inajivunia kushika uongozi wa chama na kuwadharau wastaafu ambao wanaonekana wana nguvu team msoga.
Ndo maana wamefanya fitna , Mosi kumuondoa Makonda uenezi,pili kuwaondoa Mapacha BUMBULI & MTAMA.

Kwa mbaali mabadiliko ya Jumba kuu Karibu na Saint Peter's Kanisani engineer ni huyo mbunge wa zamani Super Mogul ambaye Saa 💯 alikwenda naye ziara mbalimbali mintarafu ile ya kwa Poppe Fransisco Vatican.

Rais Samia, Rostam hana nguvu yoyote kumshinda Jakaya Mrisho kikwete.

Kikwete ni influencial figure kwa sasa ndani ya Chama na ndani ya Serikali.
Yeye mpaka sasa anakuwa the the remained most current outgoing president.

Mtindo wa kikwete ni WA kunyamaza kimyaaa kama hayupo, lakini kama tujuavyo kimyaa kina mshindo.

Jaribio la Mwisho la kuondoka kwa Kinana ni gumu kuliko mengine yote.
Kinana kwa sasa anakuwa mmoja ya watu ambao wanajua serikali vizuri na chama vizuri,ameshika nafasi nyeti wakati wa wa Marais wote, Nyerere, Mwinyi, Mkapa , kikwete, na wewe Mwenyewe.

Kinana sio mtu kuwa dumped kwa mtindo wa Job Yustin Ndugai.
Unahitaji zaidi mshikamano, kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa, na uchaguzi mkuu mwakani.

Rostam Azizi kwa Wakati huu hana lolote hana nguvu, ukumbuke this time (MABAKAMABAKA) na baadhi ya taasisi zinaenda kuwa neutral.
Wanasubiri wakati sahihi, ili wa sett tone sahihi.
Kama opossition watashinda ubunge na Urais itabaki kuwa hivyo no changes hakuna kubebwa mtu

Hawaridhiki na minada ya maliasili na rasilimali za Tanganyika kuuzwa kwa wajomba.
Kuwa makini na huyo Raia wa Tanzania/Iran.
ambaye watanzania hawamjui wala kumuona direct akishiriki siasa, lakini ndiye anayepiga NGOMA inayochezwa sasa nchini.

Nandagala one, kwa sasa Safarini Ukerewe.
Quote ReplyReport Edit Delete
1 of 6
Next
Last


Post reply

Attach files

Insert quotes…
Similar Discussions
Kamanda Asiyechoka
Kuelekea 2025 Freeman Mbowe atoa tamko. Alaani kukamatwa kwa viongozi na vijana wa CHADEMA
Started by Kamanda Asiyechoka Sunday at 12:27 PM Replies: 17
Jukwaa la Siasa
Polisi yatoa taarifa ya kukamatwa kwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA, wawataka kufuata sheria
Started by Cute Wife Yesterday at 9:18 PM Replies: 3
Jukwaa la Siasa
Roving Journalist
Kuelekea 2025 John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
Started by Roving Journalist Yesterday at 3:27 AM Replies: 36
Jukwaa la Siasa
Kuelekea 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
Started by Quinine Yesterday at 2:02 AM Replies: 205
Jukwaa la Siasa
Roving Journalist
Kuelekea 2025 Polisi: Hatujazuia mikutano ya ndani wala ya hadhara, tumezuia mkusanyiko wa Viongozi wa CHADEMA
Started by Roving Journalist Yesterday at 4:35 AM Replies: 49
Jukwaa la Siasa
Share
Jukwaa la Siasa
Contact us Terms Privacy Policy Help
Your content Subscribed threads Subscribed forums News feed Your profile Preferences
Forums
New posts
Post thread
Back
Hii imekaa vizuri sijui kama itadumu, JF imeingiliwa siku hizi
 
Kwa nini hayo maandamano wasifanye Hai na Moshi? Wanaleta Mbeya tu ili kutuharibia uchumi wetu. Wakipata ruzuku wanarudi kujenga kwao kama Mbowe alivyojenga jumba lake
Usiwapangie watu jinsi ya kuendesha mambo yao mbona wewe hutumii mdomo kutolea kinyesi?
 
Back
Top Bottom