Freeman Mbowe kushuhudia Hukumu ya Mdude Nyagali Mahakama Kuu ya Mbeya

Freeman Mbowe kushuhudia Hukumu ya Mdude Nyagali Mahakama Kuu ya Mbeya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi, huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .

Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo, ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa.

Chadema_kaskazini_on_Instagram__%E2%80%9CKesho_J3%2C__14_6_21_asubuhi%2C_Mwenyekiti_wa_Chadema...jpg
 
Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .

Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .

View attachment 1817280
Think Big,vp Kama Magufuli angeendelea kuwa hai! Tanzania ingekuwa hell fire [emoji91],Mungu ni mkubwa mno,ipo siku ktk uhai wa Magufuli ungefanyika msako wa nyumba hadi nyumba Tanzania nzima kuwasaka wafuasi wote wa CHADEMA na kuwarundika wote magerezani na wengine kuwaua wote.
Kama shetani original ana wafuasi mamilioni kwa mamilioni hapa Duniani,mnashangaa nini mtu katili Kama hayati Magufuli kupendwa na MATAGA?
Akili ya Magufuli day and night aliwaza kuangamiza wapinzani wote kwa gharama yoyote,Mungu wetu anatupenda sana Watanzania,.
Nilikuwa mmoja wa Watanzania waliokuwa wakimwomba Mungu atuondolee Magufuli.
Hatimaye Mungu alijibu maombi.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Think Big,vp Kama Magufuli angeendelea kuwa hai! Tanzania ingekuwa hell fire [emoji91],Mungu ni mkubwa mno,ipo siku ktk uhai wa Magufuli ungefanyika msako wa nyumba hadi nyumba Tanzania nzima kuwasaka wafuasi wote wa CHADEMA na kuwarundika wote magerezani na wengine kuwaua wote.
Kama shetani original ana wafuasi mamilioni kwa mamilioni hapa Duniani,mnashangaa nini mtu katili Kama hayati Magufuli kupendwa na MATAGA?
Akili ya Magufuli day and night aliwaza kuangamiza wapinzani wote kwa gharama yoyote,Mungu wetu anatupenda sana Watanzania,.
Nilikuwa mmoja wa Watanzania waliokuwa wakimwomba Mungu atuondolee Magufuli.
Hatimaye Mungu alijibu maombi.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app

JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
 
Think Big,vp Kama Magufuli angeendelea kuwa hai! Tanzania ingekuwa hell fire [emoji91],Mungu ni mkubwa mno,ipo siku ktk uhai wa Magufuli ungefanyika msako wa nyumba hadi nyumba Tanzania nzima kuwasaka wafuasi wote wa CHADEMA na kuwarundika wote magerezani na wengine kuwaua wote.
Kama shetani original ana wafuasi mamilioni kwa mamilioni hapa Duniani,mnashangaa nini mtu katili Kama hayati Magufuli kupendwa na MATAGA?
Akili ya Magufuli day and night aliwaza kuangamiza wapinzani wote kwa gharama yoyote,Mungu wetu anatupenda sana Watanzania,.
Nilikuwa mmoja wa Watanzania waliokuwa wakimwomba Mungu atuondolee Magufuli.
Hatimaye Mungu alijibu maombi.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Kwani nimebisha basi mkuu , naanzaje ?
 
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
aliuza madawa ya kulevya ?
 
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Stupid kweli wewe,hata shetani huwa Tunamwongelea kila siku, that doesn't mean we appreciate him

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Aoze mpaka na mifupa huko aliko. Shwetan mkubwa... Hakuwa binadamu.
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
 
Kwa matusi haya kabla ya hukumu jaji mpige mvua ili waelewe kujifunza adabu hawa japo huwa hawasikii. Tena piga mvua mbele ya Mbowe. Wakishinda kesho watalikashifu sana taifa hili la Mungu
 
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Mungu kwa upendo na utukufu wake alitofautisha wanadamu. Hii haina mjadala.
 
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Aliye mteka Mdude, na kumtengenezea kesi ya madawa, ambaye ndo aliye mpoteza Saa8 na kumfyetulia Lisu marisasi! Huyo, ambaye huwa mnaabudu, ndiye aliye mkosefu wa ustaarabu nambari moja! Hata Wewe, are you serious, Sabaya?!
 
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.

Well
Lugha mbaya, ukosefu wa nidhamu, ina uhusiano gani na kesi ya kusafirisha madawa, tuweke record sawa kama raia wa kawaida put ma vyama aside!
 
Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .

Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .

View attachment 1817280
Bado unaendelea kumpigia magoti Dj
 
Kwa matusi haya kabla ya hukumu jaji mpige mvua ili waelewe kujifunza adabu hawa japo huwa hawasikii. Tena piga mvua mbele ya Mbowe. Wakishinda kesho watalikashifu sana taifa hili la Mungu
Na bado, kuna Sabaya, kipenzi cha ccm, mzalendo nambari moja, anateseka Kisongo, mwaka wa shuatani kwa mataga, huu!
 
Nadhani Mahakama itafafanua
Nadhani hata akisema tu madawa ayapeleke kwenye anwani fulani Ubungo au Rorya nako pia ni kusafirisha, na kupokea malipo kwa tigopesa nako pia; hata kama safari ilianzia Vwawa ikaishia Kundus nchini Pakistan huko nako ni kusafirisha. Zamani walitumia ngamia jangwani au meli baharini siku hizi ni Google. Tushukuru nji yetuTanzania ni nchi yenye katiba inayolinda raia wake na kuwapa nafasi ya kujitetea nahakamani. China au Kenya angekula risasi wakati akikamatwa.
 
Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .

Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .

View attachment 1817280
KAMA KUNA KIPINDI MUNGU ANAJIBU KWA HARAKA NI WAKATI HUU.SUBIRI HATA KWAKO UTAONA MAJIBU FASTA.GOD IS A LIVING SUPER NATURAL CREATURE
 
Back
Top Bottom