Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Hadithi nzuri sana, kama tu, yasinge kuwa yanajulikana yaliyo nyuma ya pazia!Nadhani hata akisema tu madawa ayapeleke kwenye anwani fulani Ubungo au Rorya nako pia ni kusafirisha, na kupokea malipo kwa tigopesa nako pia; hata kama safari ilianzia Vwawa ikaishia Kundus nchini Pakistan huko nako ni kusafirisha. Zamani walitumia ngamia jangwani au meli baharini siku hizi ni Google. Tushukuru nji yetuTanzania ni nchi yenye katiba inayolinda raia wake na kuwapa nafasi ya kujitetea nahakamani. China au Kenya angekula risasi wakati akikamatwa.
AminaKwa maombi ya watanzania kesho mdude mda Kama huu atakuwa anaungana na mamilioni ya Tanzania kwenye social media huku akifurahia ukuu wa Mungu daima
Chalamila Mungu anamuona.Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Kama mtu mwenyewe anaitwa Mdude ataachaje kusafirisha madawa?Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .
View attachment 1817280
Usimfananishe shetani na vitu vya kijinga na kipumbavu.Magu fool alikua shetani
KUWA MSTAMILIVU MAANA YAKE NINI? Kama kiongozi hawezi kuwa mstahimilivu maana yake atawamaliza watu wake maana katika hao unaowaongoza wamo VICHAA,WALEVI WA KILA AINA,MALAYA,WACHAWI,WAONGO,WANAFIKI,WATU WEMA, WEZI,WAHUJUMU UCHUMI,WACHA MUNGU,WAKIMYA,WANENAJI -NK,NK. Wote hawa ni watu wako na kama hutaki hupendi na hutaki kuwavumilia kiongozi,JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .
View attachment 1817280
Tangu anakamatwa, anashtakiwa na akiwa rumande, Mwamba Mbowe HAKUWAHI kuonekana. Kesho Mdude anahukumiwa, Mwamba Mbowe anakwenda kushuhudia kama analimwa mvua nyingi au kama ni kidogo Mwamba Mbowe akate rufaa! Viva Mbowe Viva!!!Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi , huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo , ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa .
View attachment 1817280
AmeenMungu ampe haki yake stahiki.
Ushindi wako leo Mungu amekutembelea na Leo unauona mkono wake?Wakuu nataraji mumeamka salama popote pale mlipo, nadhani mnamfamu kijana Mdude anaekabiliwa na kesi katika mahakama ya Mbeya ikiwa leo ni siku ya hukumu yake, nawaomba tumuombee nusra ya kupata uhuru wake kiubinadamu bila kujali itikadi zetu za vyama, dini na ukanda.View attachment 1818117
Ameen YARABI!Mungu mtetee kamanda Mdude
Ameen ya ALLAH!Ushindi wako leo Mungu amekutembelea na Leo unauona mkono wake?
TUNAMSHUKURU sana MUNGU kwa kulifyekelea mbali for good hili Nyangumi.Magu fool alikua shetani