[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMuuza kuku (Mr Kuku) alibambikizwa kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha. Muuza spare za simu akabambikizwa kesi ya kusafirisha madawa ya kulevya kutoka pakistani kwenda mbeya wakati hata passport wala kitambulisho cha NIDA hajawahi kumiliki.[emoji3][emoji16][emoji23]
Magu Fool alikua ana matatizo kisaikolojia.
Tulia dawa ikuingie we Joyce mkuyaKazi kusema wanawake wa watu , We domo zege nini ?!
Akili zenu za ki Jiwe Jiwe [emoji107]
Nilitegemea Leo tutapata live update kutoka mahakamaniMwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi, huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo, ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa.
View attachment 1817280
JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Hivi mataga,vipi bado mnapata zile buku 7 sabaTulia dawa ikuingie we Joyce mkuya
Hiyo ndiyo adhabu ya matusi?JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Kwa hiyo hayo matusi ndio yalikuwa yanasafirisha madawaJPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.