Pre GE2025 Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.

Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.

 
Wakuu,

Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.

Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
Swela la mttu kugombea siyo la chama ni maamuzi yake binafsi hasa kwa mtu kama yeye ambaye amekaa madarakani kwa mda mrefu anapaswa tu kujitafakari, inawezekana akazani ni chama kumbe ni chawa
 
Wakuu,

Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.

Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.

View attachment 3173677

Anawashushua WANACHAMA wake WAZI WAZIIIIIIII
 
Wakuu,

Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.

Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.

View attachment 3173677
Makavu live.. Kaamua kuwatolea uvivu na ramli zao chonganishi
 
Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Uwe na adabu.Unajua huyo ni mtu,kwanza.Pili ni baba wa familia.Tatu ni mume wa mtu.Nne ni kiongozi kitaifa.Tano amekuzidi kila kitu isipokuwa ujinga tu.Saba amecheka ulivyoandika uliyoyaandika.Sita umechukia.
 
Wakuu,

Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.

Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.

View attachment 3173677
Makala na Chakamila imewafika hiyo🤣🤣
 
1. Haondoki mtu hapa,
2. hatuna fomu moja ua uenyekiti kama CCM
3. Trump ana miaka mingapi?
4. Nyerere alingatuka, yeye alikuwa mtumishi wa UMMA analipwa kwa kila alipendalo. Sisis tunajitolea

BOTTOMLINE HAONDOKI MTU
Chama Cha baba mkwe

Mtaendelea kugaragazwa na Mchengerwa kwenye Box la Kura hadi mbege muite meee! 😂🔥
 
Back
Top Bottom