Pre GE2025 Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Mtasubiri sana tugombane, haitatokea! Masuala ya mimi kugombea chama changu kitaamua, hayawahusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Si bora ya Mbowe yeye kaingia madarakani "majuzi" tu! Vipi chama fulani kinachojitahidi kukaa madarakani kwa namna yoyote ile, hata kwa mbinu za "guzani"?
 
Kweli m/kiti wetu.
Mjitahidi kuepuka majungu na umbea ili msonge mbele. Kwa taarifa yako watu wanaenda kutoa kafara ili chama life. Wengine wanapewa Hela ili wawakosanishe lakini mjitahidi Sana kuvumiliana.
 
Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Syo kuwa n akili kuliko wenzie bali ana akili kuliko mumeo na hata wewe.
Kama una akili ya nini kujificha jf, toka hadharani na wewe ujione una akili.
Ingawa najua ukileta fyuu tu unaachika
 
Back
Top Bottom