Swela la mttu kugombea siyo la chama ni maamuzi yake binafsi hasa kwa mtu kama yeye ambaye amekaa madarakani kwa mda mrefu anapaswa tu kujitafakari, inawezekana akazani ni chama kumbe ni chawaWakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
Wakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
View attachment 3173677
Makavu live.. Kaamua kuwatolea uvivu na ramli zao chonganishiWakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
View attachment 3173677
Uwe na adabu.Unajua huyo ni mtu,kwanza.Pili ni baba wa familia.Tatu ni mume wa mtu.Nne ni kiongozi kitaifa.Tano amekuzidi kila kitu isipokuwa ujinga tu.Saba amecheka ulivyoandika uliyoyaandika.Sita umechukia.Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Deep-under or down-under!Ujumbe umesikika Loud n Clear...βοΈ
Kama Bashite na hayati Baba yake,Nduli.Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Makala na Chakamila imewafika hiyoπ€£π€£Wakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
View attachment 3173677
Chama Cha baba mkwe1. Haondoki mtu hapa,
2. hatuna fomu moja ua uenyekiti kama CCM
3. Trump ana miaka mingapi?
4. Nyerere alingatuka, yeye alikuwa mtumishi wa UMMA analipwa kwa kila alipendalo. Sisis tunajitolea
BOTTOMLINE HAONDOKI MTU
Hahaha......na leo Mbowe kawanyosha kama waswahili wa Mwananyamala......sijui Dr Nchimbi atasemaje leoUjumbe umesikika Loud n Clear...βοΈ
IMEKUUMA SANA KUWA HAONDOKI MTU, POLEChama Cha baba mkwe
Mtaendelea kugaragazwa na Mchengerwa kwenye Box la Kura hadi mbege muite meee! ππ₯
CHAMA CHA SAMIA....KUNA ANAYEWEZA KUMHOJI KAMA CHAMA SIYO CHAKE?Chama Cha baba mkwe
Atasema ili uchumi wa taifa ukue tununue dagaa wa ziwa Nyasa.Hahaha......na leo Mbowe kawanyosha kama waswahili wa Mwananyamala......sijui Dr Nchimbi atasemaje leo
Aondoke mara 2? πππIMEKUUMA SANA KUWA HAONDOKI MTU, POLE
Mbowe tumempambanisha na MchengerwaCHAMA CHA SAMIA....KUNA ANAYEWEZA KUMHOJI KAMA CHAMA SIYO CHAKE?