Haha ha, unajua huyo mshindani mkuu wenu yuko wapi?Yaani Hii in First Half CCM 3- CHEDEMA -1
Mkuu acha kufutilia Mambo madogo kwani picha ikipigwa mtu anaongea itoka vipi ?mbona za katibu mkuu ccm za namna hii zipo nyingi tu , so jikite kwenye Mambo ya msingi mkuuKwanza kabisa tukubaliane kwamba mtanange wa uchaguzi umepamba moto huku kila chama cha siasa kikijitahidi kunadi wagombea wake na kushawishi wananchi kuwachagua...
Unafanya mikutano mitano Kwa siku bila wasanii unahitaji jukwaa LA fiesta Kwa DJ 30?Nilitaka kushangaa kwanini hii picha imeingia mtaani kumbe ni hujuma? Alafu nashangaa kwanini mwenyekiti ndugu Freeman Mbowe hahudhulii mikutano ya Mgombea urais wa chama chake?...
Mengine siyajui Ila la ukata ndio liko wazi maana kiukweli majukwaa anayotumia mgombea wetu hayana hadhi na mbaya zaidi hata mabango yenye picha za mgombea hayapo kokote kule binafsi sijawahi ona mabango ya mgombea yeyote wa Upinzani,kila kona yamejaa ya Magu tu Hadi kwenye mataa barabarani mpaka unajiuliza Kana kwamba ni mgombea pekee.Kwanza kabisa tukubaliane kwamba mtanange wa uchaguzi umepamba moto huku kila chama cha siasa kikijitahidi kunadi wagombea wake na kushawishi wananchi kuwachagua...
Wanajitekenya na kucheka wenyewe lumumba.
Wanaumia sana shujaa wa Mungu Tundu Antiphas Lissu anafanya kampeni na Team ya kampeni tu alafu amewakimbiza vibayaaaaa.
Wao kuanzia mwenyekiti, katibu, mwenezi , Makamu wenyeviti wote wako kwenye kampeni alafu bado wanapelekwa mputa hadi ulimi wote nje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lissu ni mwanasiasa na nusu dadeki [emoji23][emoji3][emoji3]
Hiyo saccos ni ya mwenyekiti na watu wake wa karibu. Yeye ndio final say wa kila kitu pale, poleni Sana mnaochangishwa usiku na mchana wakati mgombea wenu anapiga miayo kwa uchovu na njaa. Kabla hamjafikiria kutawala nchi, tawaleni kwanza hapo saccos, wekeni demokrasia hapo saccos kila kitu kiwe wazi ndio tuone mfano.
Ndio vizur ili CCM ishinde kwa wepesi zaidiKuna tatizo ndani ya chadema. Ukweli usemwe
Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).Nasubiri tu mazishi ya Chadema 28 oct [emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahaaaa! Unaweza ukazikwa wewe kabla ya chademaNasubiri tu mazishi ya Chadema 28 oct [emoji1][emoji1][emoji1]