Freeman Mbowe na Hoyce Temu

Freeman Mbowe na Hoyce Temu

Enzi za vimobitel. Unategesha alarm ukiwa kwenye kadamnasi ya watu halafu unapokea haloo kwa sauti kubwa.
Unaweza ukahisi utani ila hii kitu nishafanya sana. Nikatega alarm kama dakika tano mbele nilijua ndani ya muda huo lazima nitakuwa nimefika usawa wa yule binti, naam nilipofika tu hata sekunde thelathin hazikupita kudadeki kitu griiiiii.... griiiii... hapo kilikuwa kinaning'inia shingoni, nikakivua nikakata alarm halafu nikapeleka sikioni...
"Hallow... eeh nimetoka kidogo... narudi sasa hivi... haya nakuja" halafu nikafanya kama nakata kisha nikairudisha Simens mayai shingoni. Nikamcheki binti nikiwa serious sana..
"Mambo..."
"Poaaaa" huku anatabasamu... hahahaha alikuwa anaitwa Prisca Mbilinyi
 
Unaweza ukahisi utani ila hii kitu nishafanya sana. Nikatega alarm kama dakika tano mbele nilijua ndani ya muda huo lazima nitakuwa nimefika usawa wa yule binti, naam nilipofika tu hata sekunde thelathin hazikupita kudadeki kitu griiiiii.... griiiii... hapo kilikuwa kinaning'inia shingoni, nikakivua nikakata alarm halafu nikapeleka sikioni...
"Hallow... eeh nimetoka kidogo... narudi sasa hivi... haya nakuja" halafu nikafanya kama nakata kisha nikairudisha Simens mayai shingoni. Nikamcheki binti nikiwa serious sana..
"Mambo..."
"Poaaaa" huku anatabasamu... hahahaha alikuwa anaitwa Prisca Mbilinyi
Hahahah mkuu umenichekesha sana
 
Ng'ombe jazeeki maini
 

Attachments

  • 1473684665470.png
    1473684665470.png
    184.8 KB · Views: 41
Wakati huo mtukufu yupo chato anavua samaki.

Mbowe mtoto wa mjini toka kitambo.
Ila ndio hivyo mtoto wa Shamba kachukua nchi na kuharibu kabisa mikakati ya mtoto wa mjini sasa hv anahaha hajui ashike wapi...tih tih [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] Ila simshangai watoto wa mjini wengi wanapenda shortcuts akamchukua EL ili abet Bahati mbaya akaliwa
 
Hizo ndio kazi ambazo mbowe ni mahiri,sio kuogoza chama
 
Back
Top Bottom