Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Watu wengine wapuuzi sana na umaarufu Wa mbowe aandike jina lake kwenye kadi alafu unasema amemtumia Dada Wa Joyce ili isijulikane
 
Hakika ndiyo maana juliana shonza aligombana na mbowe na slaa naona alikataa kutoa hii kitu binti kachukiwa kaambiwa heche amfukuze hongera july kuepuka zahama kama hizi.
Ufipa mizigo sana, bint angekuwa kule hadi leo asingeolewa, wangemharibu wale
 
Distinguish between mbowe and king muswati...give examples
 
kwanza wewe mwandishi ni mwizi umetoa wapi vyeti vya watu
 
Mfano kiongozi angekuzini wewe af akakutelekeza ungejisikiaje???

Ukikubali kuzini na mtu asiye mumeo uwe tayari kwa negative effect yoyote inayoweza kufuatana na dhambi hiyo.
 
Mbowe amekuwa mwungwana sana siyo kama wengine wanavozaa hovyo na kugomea majina yao yasitumike kwenye ubini wa watoto
 
kweli ukisikia hoja za maana kwa ccm ndiyo hizi hapa hapa cha msingi tuelezane miiko ya viongozi kwa taifa na sio mambo ya chumbani kwa watu tena inawezekana bora ya mbowe kuliko yako
 
Wakuu kwa sifa hizi mnataka tuamini kuwa hata baadhi ya nyie buku saba wa Lumumba ni watoto wa Mheshimiwa Mbowe?
 
na yule wenu mwenye watoto 21 mama 9 tofauti yeye ataitwaje?hivi wale mapacha bado wako dubai wanasoma au wamerudi?

Wewe ni mwanamume? Mbona u mpashkuna hivi? angalia usije kuolewa! Udaku wataka moyo!
 
Mbowe ni mzinzi sana, inakuwa anazaa zaa. Ovyo hivi?

Aliye Mtakatifu humu awe wa kwanza kurusha jiwe na ndio maana hata jina unalotumia humu huna ujasiri wa kuweka la ukweli kwa vile hujiamini na jaujakamilika kwa hiyo hauna jipya kaaa pembeni.
 
Kwann mbowe anazaa zaa hovyo hivi? Kwann hamuheshimu mke wake?

Yule mkuu wako ana watoto wangapi? Leta mrejesho hapa halafu ndio uanze ku..risha hapa nyambafu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…