Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haa haa kwani jk ana usafi gan?Kiongozi ni kioo cha jamii lazima kiongozi awe msafi.
haa haa kwani kaolewa na nani? Mwigulu eeh.Ufipa mizigo sana, bint angekuwa kule hadi leo asingeolewa, wangemharibu wale
haa haa una utani na kapuya pamoja na tezi dume wewe!Mfano kiongozi angekuzini wewe af akakutelekeza ungejisikiaje???
chama cha makahaba, a.k.a ccm, chama cha majambazi, a.k.a ccm, chama cha matahira , a.k.a ccm, chama cha mafirauni, a.k.a ccm.chaga developmt manifesto aka wazee wa michepuko
teh teh, uongozi gani mkuu? Kama hicho kingekuwa kigezo jk asingekuwa pale magogoni, pia mwigulu asingekuwa naibu waziri wa fedha, na hata adamu malima asingeendelea kuwa naibu waziri wa fedha kamwe.Uzinzi ni kigezo kimojawapo cha kunyimwa uongozi!
nani padre aliyefukuzwa? Karugendo ama..Padri aliyefukuzwa!
Msafi Dr.Slaa anapiga mimba wake za watu, alifukuzwa upadre kwa kupenda ngono.haa haa kwani jk ana usafi gan?
haa haa kwa staili hii tezi dume ni lazima, duh jk kwa uzinzi hakunaga..WATOTO WA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
1. Mustafa Jakaya (33)Kigoma
2. Mwanaharusi Jakaya(36)Kigoma
3. Isihaka Jakaya(34)Rukwa
4. Halfani Jakaya(31)Bagamoyo
5. Faudhia Jakaya(33)Dodoma
6. Siwema Jakaya(31)Mtwara
7. Faudh Jakaya (3)Iringa kwa Assas
8. Maulid Jakaya(18)Tabora
9. Salama Jakaya(33)Mama alifariki(Ameolewa na Albert Marwa yupo kwenye sakata la wizi Tsh200Bils)
10. Ridhiwani (36)Mama hajulikani
11. Miraji Kikwete (33) Mama hajulikani
12. Mwanaasha Jakaya-(18) Chalinze
14. Pili(6)Ikulu
15. Havintishi(5)Ikulu
16. Mwalusembe(4)Ikulu
17. Hafidh (16)Ikulu
Mbowe ipo siku italetwa video yake akiwa na mkewe faragha. Usalama wa taifa unamfuatilia kwenye mambo ya kitoootoo.
mkuu huo ndo ukweli, badala ya kufuatilia issues zenye maslahi kwa taifa letu wao wanaangalia mambo binafsi ya mtu, shame on him!Mbowe ipo siku italetwa video yake akiwa na mkewe faragha. Usalama wa taifa unamfuatilia kwenye mambo ya kitoootoo.
Katika kile kinachosemekana ni kuficha ukweli pengine kwa sababu ya nyadhifa zao ama kuhakikisha hakutokei matatizo ya kifamilia, Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni, Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo Joyce Mukya, wamelazimika kutumia Mjomba wa mtoto wao Cayla-Stacy aliyezaliwa 16 aprili, 2013 ili kufanikisha kupatikana kwa shahada ya kuzaliwa.
William Christopher Shechambo, mjomba wa Cayla-Stacy(kaka wa Joyce Mukya) ndiye aliyepewa jukumu la kuhakikisha mpwa wake anapata shahada ya kuzaliwa badala ya wazazi wa mtoto kama ambavyo imezoeleka.
Vifuatavyo ni viambatisho vya fomu ya RITA na kadi ya Kliniki ya Mtoto.
![]()
![]()
![]()
![]()
yote wewe wasema, lakini all in all hakuna binadamu aliyekamilika. Kama tungeanza kufuatilia nyendo binafsi, jk asingepaswa kuwa rais, wala adamu malimu, wala mwigulu nchemba, na kwa uchache tu historia ya sofia simba tukiweka hapa tutaudhalilisha hata huo uwaziri aliopewa. Hakuna shughuli asiyoifanya ya mtaani kamwe kama mwanamke. Zingine naona hata ukinyaa kuweka hapa! Angalieni mambo yenye tija kwa taifa letu na sio mambo binafsi ya watu, hayo hayatasaidia kujenga barabara, kukomesha wizi, wala kupunguza idadi ya wajawazito wanaokufa wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora katika hospitali za umma!Msafi Dr.Slaa anapiga mimba wake za watu, alifukuzwa upadre kwa kupenda ngono.
ni kweli mkuu ila Tissccm!we acha hadithi za vijiweni usalama wa taifa hawawezi fatilia vitu kama hivyo