nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
haa haa wewe una utani na kina adamu malima, mwigulu nchemba, sofia simba na hata baba rtz!Wazinzi kwa kuteteana hamjambo mnajuana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haa haa wewe una utani na kina adamu malima, mwigulu nchemba, sofia simba na hata baba rtz!Wazinzi kwa kuteteana hamjambo mnajuana tu.
hili linawasaidia vipi watanzania ni wa kawaida?Mwambie bi mkubwa wako kuwa mzee wenu kazaa na joy mukya ndoa ishakuwa ndoano.
haa haa kwa staili hii tezi dume ni lazima, duh jk kwa uzinzi hakunaga..
haa haa umewakamata penyewe! Nasikia ndani ya ccm huwezi pewa viti maalumu bila kuwahudumia wenye chama chao, watoa mifano ya kina kamata, nipata na wengineo.Umeshaweka VIAMBATANISHO vya watoto wako kwenye mitandao?Acha upuuzi wakuingilia mambo ya ndani ya wengine.Wewe pia yawezekana baba wa mtoto wako siyo mumeo wa ndoa!Kwanini kumuingilia mtu mwingine sababu tu ni wa upinzani mpaka kwenye nguo zake za ndani?
Viongozi wengi wa CCM 99% yao ni WACHAFU kupindukia kuanzia na huyo Mwenyekiti wa Hicho chama Chenu cha Mafisadi.
Wabakaji wako humo humo,kina Komba,na yule Prof aliyebaka Mwanafunzi wa miaka 16.Acha ujinga,usidhani Watanzania mabwege,tunawajua vizuri
kama ni elimu ya uzazi angeanza nayo tezi dume kwanza!!Ha ha ha ha ha,mwenyekiti hana elimu ya uzazi kabisa.
haa haa umewakamata penyewe! Nasikia ndani ya ccm huwezi pewa viti maalumu bila kuwahudumia wenye chama chao, watoa mifano ya kina kamata, nipata na wengineo.
teh teh, uongozi gani mkuu? Kama hicho kingekuwa kigezo jk asingekuwa pale magogoni, pia mwigulu asingekuwa naibu waziri wa fedha, na hata adamu malima asingeendelea kuwa naibu waziri wa fedha kamwe.
Na wizi unaitafuna ccm bora fuska kuliko mwinzi
Amina Chifupa,Rahma Al kharoos,Mtoto Wa ASAS iringa,Vicky Kamata bado kuna wale anaowapeleka serengeti ktk hotel yake miezi kama hii ya dec
hili linawasaidia vipi watanzania ni wa kawaida?
Vipi kuhusu Mh. Mwenyekiti wa CCM?:msela:kwa Mwenyekiti wa chama kinachojinasibu kushika dola kuzaa zaa hovyo ni ishara mbaya