Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Biblia inasema wazi:- Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe...huyu aliyeshikwa kwenye zinaa. (Yn 8:7). Je,wewe unayemtupia mawe Mbowe kwamba ni mzinzi 'sa-a-ana', hujawahi kuzini?
 
usitukane mamba kabla hujavuka mto unaweza kupofuka macho yote yeye akaendelea kudundika na kengeza lake

shubamiiiit
Hata yeye au wewe au babar yako wanaweza kupofuka pia, au unafikiri kuwa na kengeza ni kinga ya upofu. Nyumbx
 
Hayatuhusu!
Wananchi yanatuhusu. Utumiaji mbaya wa madara. Wako wanachama wa CHADEMA wanapigania Chama Chao lakini huyu anapata Ubunge kwam njia ya rushwa ya Ngono. Kwa kweli upinzani Tanzania baaado saana! Kifupi hatuna Chama cha Upinzani!
 
MAMBO BINAFSI HAYO MKUU YANATUHUSU NINI SASA
Hayo siyo mambo binafsi. Ingekuwa mambo binafisi endapo huyo bi dada asingepewa Ubunge kwa rushwa ya ngono! Kodi zetu zinapotea bure kwa Mbunge asiye na tija!
 
Katika kile kinachosemekana ni kuficha ukweli pengine kwa sababu ya nyadhifa zao ama kuhakikisha hakutokei matatizo ya kifamilia, Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni, Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo Joyce Mukya, wamelazimika kutumia Mjomba wa mtoto wao Cayla-Stacy aliyezaliwa 16 aprili, 2013 ili kufanikisha kupatikana kwa shahada ya kuzaliwa.

William Christopher Shechambo, mjomba wa Cayla-Stacy(kaka wa Joyce Mukya) ndiye aliyepewa jukumu la kuhakikisha mpwa wake anapata shahada ya kuzaliwa badala ya wazazi wa mtoto kama ambavyo imezoeleka.

Vifuatavyo ni viambatisho vya fomu ya RITA na kadi ya Kliniki ya Mtoto.

View attachment 211710

View attachment 211711

View attachment 211713

View attachment 211714
Mpumbavu nambari one kabisaa wewe.
 
Aisee ukiishi kuishi maisha ya siasa basi be ready for anything.
 
Zikitolewa nyaraka za yule aliyekosa staha mpaka kufikia kuzaa na shemejie msilalame kuhusu faragha!

Eitherway uasherati sio mzuri!
 
Back
Top Bottom