Duh! Hii ni hatari
acha wivu mbona wewe unaliwa kavu huoni hatari
ushahidi wewe ulikuwepo acha umbeaMkuu ushahidi unaonesha Mwenyekiti alikataa kata kata kutumia kinga wakati anajua kabisa hatari na anajua sheria za michepuko! Inatoa machozi!
Akina mama kama Mukya wanawinda URITHI kaka. Lazima wazae na watu kama hao.Kwakweli Mbowe kakosea sana kama kiongozi! Sijui kwanini alikataa hizi zana?
Mkuu ushahidi unaonesha Mwenyekiti alikataa kata kata kutumia kinga wakati anajua kabisa hatari na anajua sheria za michepuko! Inatoa machozi!
kama DR SLAA siyo huyu dhaifu JKNchi hii inaitaji kiongozi rijali
Na wizi unaitafuna ccm bora fuska kuliko mwinziUfuska unaitafuna CHADEMA.
Anza wewe kuleta ushahidi zaidi ya ule uliotolewa na vitoto hivi hadi ukakubaliwa mahakama za juu kabisa za nchi hii.akili za kuambiwa changanya na za mumeo leta ushahidi acha porojo
Hayatuhusu!
akili za kuambiwa changanya na za mumeo leta ushahidi acha porojo
Dr Slaa naye aliutema upadre kwa uzinzi huu!kama DR SLAA siyo huyu dhaifu JK
huku ni kuishiwa hoja wewe ndo unatakiwa kuleta ushahidi wa wale watoto kubakwa au wewe ulibakwa mimi siamini kama wale watoto walibakwaAnza wewe kuleta ushahidi zaidi ya ule uliotolewa na vitoto hivi hadi ukakubaliwa mahakama za juu kabisa za nchi hii.
hata wewe bila uzinzi ungezaliwaDr Slaa naye aliutema upadre kwa uzinzi huu!
mwenye uwezo wa kuhukumu ni Mungu mtu hao wengine ni watu dhaifu wana dhambi na makosa kama wewe .wewe ndio uache porojo nenda kasome mwenendo wa case yake na ushahidi ulio wasilishwa mahakamani kwa alicho kifanya! nina uhakika ungekuwa umesoma hule ushahidi na mwenendo wa case usinge mtetea yule mbakaji na alistahili kunyongwa kabisa yeye na papii kocha!
Ulikuwepo ww unayeshabikia upuuzi!