Freeman Mbowe na Timu yake waingia Kanda ya Magharibi, ni katika muendelezo wa Operesheni Haki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu msituchoke, tuliahidi kuwafikishia kila kitu kitakachojiri kwenye ziara za Mkakati mpya wa CHADEMA inayoitwa OPERESHENI HAKI, hii ni kampeni ya kuchagiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi .

Baada ya kupita kwenye kanda kadhaa sasa imeingia kwenye Kanda ya Magharibi ikiongozwa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anaonekana hapa chini akisaini Kitabu cha Wageni .





Endelea kutufuatilia kwa taarifa za yatakayojiri .

Mungu ibariki Chadema
 
Kanda ya Magharibi,makao makuu ya kanda ni wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…