Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

hi
hivi ulimboka alitekwa na nani mkuu?.....imran kombe aliuawa na nani?.......................kolimba je?
AKINA KASIM Hanga,othman shariff na sadala walipotezwa na mbowe au?
 
hi

hivi ulimboka alitekwa na nani mkuu?.....imran kombe aliuawa na nani?.......................kolimba je?
AKINA KASIM Hanga,othman shariff na sadala walipotezwa na mbowe au?
Umemsahau na Chacha Wangwe aliyekuwa tishio kwa Mbowe wakati ule akaamua kufanywa alichofanywa
 
Lizaboni wewe ni prime suspect kwenye huu uhalifu unaoendelea sasa nchini. At very least, Lizaboni you are a partner in crime.
 
CDM is no longer a serious political party.
 
Lizaboni wewe ni prime suspect kwenye huu uhalifu unaoendelea sasa nchini. At very least, Lizaboni you are a partner in crime.
Nipo tayari kuhojiwa. Hata kesho naweza kwenda kituo Kikuu cha Polisi hapa Mjini Songea kutetea nilichoandika
 

Sasa uhusiano wake unahusiana vipi na gazeti,huo ni uchochezi nyie nyumbu
 
Mjadala huu ulikuwa na hoja nzito sana. Nashangaa watu waliupotezea
 
Kwa muda huu uliopita siamini kama Ben amejiteka. Atakuwa ametekwa na wabaya wake kisiasa ndani ya CHADEMA
Kama roma alivotekwa na chadema ...hahahha unafikiria kwa kutumia k
 
Daah ben uko wapi? Wana jf twakulilia
..
 
Hii ndio movie halisi
 

Attachments

  • tmp_11137-IMG-20170420-WA0014459605319.jpg
    86.2 KB · Views: 28
Kadri siku zinavyopita, watu wanazidi kuumbuka. Mbowe ajitokeze na kutueleza wapi alipo Ben Saanane

Hahahahahaha wanaumbuka wauaji na Chama Chao Cha Mauaji aka CCM,inayotumia taasisi za Serikali na Usalama wa RAIA kuteka,kutesa na kuua watu. Na msimamizi wa haya yote ni Bwana Mkubwa mmoja kwa jina la Bashite.

Leo.Mshika dau kushindwa hata kujibu maswali zaidi.ya kujiumauma tu.Wauaji wakubwa.nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…