Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
- Thread starter
- #181
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja. Kama mwelekeo wetu ndio huu basi tutasonga mbele. Ila kama na wewe umetumwa na Mbowe kuja kuzima mjadala huu basi utakuwa umekosea sanaNarudia tena tuzungumze issues ambazo ni maslahi kwa taifa ili tuweze songa mbele na maisha yetu yawe na tija,, mpaka sasa hatujui tulipo,, tunahoji upotevu wa mtu mmoja!? Shame on u,, tutulize akili jamani oh oh tutaachwa huu muda siyo wa porojo za siasa jamani,,,