Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

Inasikitisha sana aiseeeee. Familia yake wanahangaika kwa jumq moja sasa na chama kimekaa kimyaaaaaa!
Acha unafiki, ameshakosoa elimu ya mkuu.Inawezekana mnajua alipo kwa sasa.Hivi na nyie siku hizi mna huruma na wapizani!
 
Propaganda za ccm kupitia Lizabon.
anafuraha tele makondali na hela za ma GSM na amri wakitoa kwa kushirikiana na yule aaliyesema wamekufa ni wahamiaji wameshakunywa vinyo tuwaaone kama wao wataishi milele eti ukuu wa mkoa n. uwairi uraisi unakugeuza kuwa muuaji hutaki kuhojiwa wala kupingwa viongozi wa Africa wa ajabu sana ndio maana mpaka leo we are in a dark continent
 
Mmempeleka wapi rafiki yangu Ben-Rabiu Ben-Rabiu Wa Saanane

Amewatumikia kwa muda mrefu na kwa hali ngumu

Hotuba mnazozisikia Mbowe akihutubia si zake ni za rafiki yangu Ben

Kwenye mambo ya mikakati na sera anajitolea kwa kiasi kikubwa

Kiufupi Ben ndiye kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani

Nililiona Kundi la Wanasheria lililokwenda kumtetea mtu anayetukana watu na anayetaka Rais afe Kule Arusha lakini nasikitika sijaona kiongozi wa Chadema akizungumzia kuhusu Ben.

Nawaona wakila bata Ulaya huku Ben asifahamike mahali alipo,
Naamini safari hii Joyce Mukya hajasafiri naye kama ilivyo kawaida yake if other things remain constant!

Binafsi nimeumia sana na hili na litawarudisha nyuma vijana wenu wengi kwasababu Ikiwa huyu ni Ben mnayeshinda naye Makao makuu mnamfanyia hivi vipi kuhusu mdogo wangu Mwanakijiji Lugusi, ama Charles Francis, ama Malisa na Eliza Beth si ndio mtafanya sherehe kabisa siku wakipotea?

Hivi nyie viongozi mnaweza kukaa kimya siku Lema akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Joyce Mukya akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Lowassa akipotea ingawa ametoka Ccm juzi na yupo kwenu kwa ajili ya Urais tu, au kwasababu Lowassa ana pesa na rafiki yangu Ben hana?
Ndio maana mkampa na Ujumbe wa kamati kuu!

Sidhani kwa kiongozi mwenye akili timamu aliyepata sifa kutokana na uwezo wa maandiko ya Ben, anayeonekana Msomi kutokana na Elimu ya Ben kusafiri kwenda Ughaibuni huku msaidizi wako akiwa hajulikani mahali alipo!

Niliwahi kumshauri Ben achana nacho hiki Chama, hiki Chama ni cha kihuni hakina fadhila,kilimuacha Dr Slaa na kumtukana na kumuita msaliti huku dada yangu Josephine Mushumbusi akitukanwa kila aina ya tusi kwasababu ya pesa za Lowassa.

Leo wamemuacha rafiki yangu bila kuuthamini utu wake,akili na nguvu zake alizozitumia kuiinua Chadema!

Nakumbuka ndoto zako za kumrithi Comrade Joseph Selasini kule Rombo lakini Viongozi wako wa Chadema hawalioni hili!
Wapo Ulaya wanastarehe!

Naishukuru serikali kwa kuonesha ushirikiano mkubwa wa kukutafuta na naiomba iendelee kushughulikia suala hili!

Nakuombea Popote ulipo rafiki yangu uwe salama

Safety be upon you in the almighty name of JESUS CHRIST!

Aluta Continua, Victory Ascerta!
 
Mmempeleka wapi rafiki yangu Ben-Rabiu Ben-Rabiu Wa Saanane

Amewatumikia kwa muda mrefu na kwa hali ngumu

Hotuba mnazozisikia Mbowe akihutubia si zake ni za rafiki yangu Ben

Kwenye mambo ya mikakati na sera anajitolea kwa kiasi kikubwa

Kiufupi Ben ndiye kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani

Nililiona Kundi la Wanasheria lililokwenda kumtetea mtu anayetukana watu na anayetaka Rais afe Kule Arusha lakini nasikitika sijaona kiongozi wa Chadema akizungumzia kuhusu Ben.

Nawaona wakila bata Ulaya huku Ben asifahamike mahali alipo,
Naamini safari hii Joyce Mukya hajasafiri naye kama ilivyo kawaida yake if other things remain constant!

Binafsi nimeumia sana na hili na litawarudisha nyuma vijana wenu wengi kwasababu Ikiwa huyu ni Ben mnayeshinda naye Makao makuu mnamfanyia hivi vipi kuhusu mdogo wangu Mwanakijiji Lugusi, ama Charles Francis, ama Malisa na Eliza Beth si ndio mtafanya sherehe kabisa siku wakipotea?

Hivi nyie viongozi mnaweza kukaa kimya siku Lema akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Joyce Mukya akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Lowassa akipotea ingawa ametoka Ccm juzi na yupo kwenu kwa ajili ya Urais tu, au kwasababu Lowassa ana pesa na rafiki yangu Ben hana?
Ndio maana mkampa na Ujumbe wa kamati kuu!

Sidhani kwa kiongozi mwenye akili timamu aliyepata sifa kutokana na uwezo wa maandiko ya Ben, anayeonekana Msomi kutokana na Elimu ya Ben kusafiri kwenda Ughaibuni huku msaidizi wako akiwa hajulikani mahali alipo!

Niliwahi kumshauri Ben achana nacho hiki Chama, hiki Chama ni cha kihuni hakina fadhila,kilimuacha Dr Slaa na kumtukana na kumuita msaliti huku dada yangu Josephine Mushumbusi akitukanwa kila aina ya tusi kwasababu ya pesa za Lowassa.

Leo wamemuacha rafiki yangu bila kuuthamini utu wake,akili na nguvu zake alizozitumia kuiinua Chadema!

Nakumbuka ndoto zako za kumrithi Comrade Joseph Selasini kule Rombo lakini Viongozi wako wa Chadema hawalioni hili!
Wapo Ulaya wanastarehe!

Naishukuru serikali kwa kuonesha ushirikiano mkubwa wa kukutafuta na naiomba iendelee kushughulikia suala hili!

Nakuombea Popote ulipo rafiki yangu uwe salama

Safety be upon you in the almighty name of JESUS CHRIST!

Aluta Continua, Victory Ascerta!


Ndo maana Mbowe na Tundu lisu wamekimbia nchi!
 
Hujielewi wewe... Kaa mkao wa kura j3. Waliomficha ben wajiandae
 
Hakyanani inawezekana kabisa CCM mnajua alipo Ben Saanane, hii si bure. Mnatakiwa kukamatwa mkatoe ushahidi.
 
Mmempeleka wapi rafiki yangu Ben-Rabiu Ben-Rabiu Wa Saanane

Amewatumikia kwa muda mrefu na kwa hali ngumu

Hotuba mnazozisikia Mbowe akihutubia si zake ni za rafiki yangu Ben

Kwenye mambo ya mikakati na sera anajitolea kwa kiasi kikubwa

Kiufupi Ben ndiye kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani

Nililiona Kundi la Wanasheria lililokwenda kumtetea mtu anayetukana watu na anayetaka Rais afe Kule Arusha lakini nasikitika sijaona kiongozi wa Chadema akizungumzia kuhusu Ben.

Nawaona wakila bata Ulaya huku Ben asifahamike mahali alipo,
Naamini safari hii Joyce Mukya hajasafiri naye kama ilivyo kawaida yake if other things remain constant!

Binafsi nimeumia sana na hili na litawarudisha nyuma vijana wenu wengi kwasababu Ikiwa huyu ni Ben mnayeshinda naye Makao makuu mnamfanyia hivi vipi kuhusu mdogo wangu Mwanakijiji Lugusi, ama Charles Francis, ama Malisa na Eliza Beth si ndio mtafanya sherehe kabisa siku wakipotea?

Hivi nyie viongozi mnaweza kukaa kimya siku Lema akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Joyce Mukya akipotea?
Mnaweza kukaa kimya siku Lowassa akipotea ingawa ametoka Ccm juzi na yupo kwenu kwa ajili ya Urais tu, au kwasababu Lowassa ana pesa na rafiki yangu Ben hana?
Ndio maana mkampa na Ujumbe wa kamati kuu!

Sidhani kwa kiongozi mwenye akili timamu aliyepata sifa kutokana na uwezo wa maandiko ya Ben, anayeonekana Msomi kutokana na Elimu ya Ben kusafiri kwenda Ughaibuni huku msaidizi wako akiwa hajulikani mahali alipo!

Niliwahi kumshauri Ben achana nacho hiki Chama, hiki Chama ni cha kihuni hakina fadhila,kilimuacha Dr Slaa na kumtukana na kumuita msaliti huku dada yangu Josephine Mushumbusi akitukanwa kila aina ya tusi kwasababu ya pesa za Lowassa.

Leo wamemuacha rafiki yangu bila kuuthamini utu wake,akili na nguvu zake alizozitumia kuiinua Chadema!

Nakumbuka ndoto zako za kumrithi Comrade Joseph Selasini kule Rombo lakini Viongozi wako wa Chadema hawalioni hili!
Wapo Ulaya wanastarehe!

Naishukuru serikali kwa kuonesha ushirikiano mkubwa wa kukutafuta na naiomba iendelee kushughulikia suala hili!

Nakuombea Popote ulipo rafiki yangu uwe salama

Safety be upon you in the almighty name of JESUS CHRIST!

Aluta Continua, Victory Ascerta!
Hujui unachosema. Tulia ujifunze ndiyo uchangie mada. Unajua aliko Ben? Unawalaumu viongazi kwa lipi unalolijua kuhusu kupotea kwa Ben? Usikurupuke kuongea mabo ambayo huwezi kuyasimamia. Tulia jifunze hekima. Uliza serikali yako, kwanini wale watu saba wamezikwa bila kufanyiwa uchunguzi wajulikane ni kinanani?
 
Alikuwa ameshaanza kuikubali kasi ya Magufuli ndio maana chadema wamempoteza
 
watu wa bwana yule wanauwa watu kwa kumhoji PHD what a regime aendelee kucopy ya kagame nchi hii inazaidi ya makabira 130 atapata taabu sana
 
Jeshi la mafisadi kamanda wao ni maMvi.
Okay,i hope mwaka 2022 utakuwa unasema hivyo hivyo!Mahakama ya mafisadi ni geresha tu,mkuu alishasema hafukui makaburi.Endeleeni kupiga miluzi,wao wanajuana kwa vilemba
 
Wao wajuane, wasijuane sisi watanzania tunamsubiri kwenyesanduku la kura ndio mahakama yetu.
 
Mbona zile taarifa za wale vijana wa kuhoji kama zilisema ,wanefuatilia uhamiaji na wamesema hakuna rekodi ya kusafiri kwa mtu huyo!!
 
Mengi saana tutayaongea ya kweli na uwongo...ya kwetu wenyewe na ya kutumwa...lakini kwa Mungu yote yatakuwa bayana.
Mwenyezimungu ni muweza wa kila jambo...humpa amtakaye na humyima amtakaye.
 
Ben Saanane kajiteka...ameonekana mitaa ya makondeko analewa kwa kificho.
Usumbufu mwingine hauna maana wala tija. Mnataka kutoa lawama kwa serikali kwamba ndugu yenu ametekwa au kupotezwa wakati waajiri wake wanajua alipo
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la wana CHADEMA wakihoji ukimya wa viongozi wa chama hicho katika kuzungumzia suala la kupotea kwa Ben Saanane. Maoni ya wana CHADEMA wengi ni kwamba pamoja na kuelekeza lawama kwa Jeshi la Polisi kutokana na kuizika miili ya watu saba bila ya kufanyiwa uchunguzi, mzigo mkubwa anashushiwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe. Ben kapotea huku Bosi wake Mbowe anaendelea kuponda raha huko Ulaya. Hajashtushwa na wala hataki kushtushwa na kupotea kwa Ben Saanane. Kwa wadhifa wa Ben Saanane, haiingii akilini kuona Bosi wake akiendelea kuponda raha huko Ulaya badala ya kusitisha safari yake kuungana na ndugu na marafiki wa Ben kumtafuta. Jawabu la haraka haraka ni kwamba Mbowe anajua nini kinaendelea juu ya kupotea kwa Ben.

Mapema leo asubuhi, ndugu yangu Malisa Godlisten Joseph amehoji kwa uchungu mkubwa sana and I can feel, kitendo cha Gazeti la Tanzania Daima ambalo kwa mujibu wa Malisa ni kwamba ni gazeti lao kutoipa kipaumbele taarifa ya kupotea kwa Ben kama ilivyoelezwa kwenye Press Conference ya Umoja wa Kuhoji Tanzania. Kwa mujibu wa Malisa, Gazeti la Tanzania Daima limeipuuza Taarifa yao na badala yake wamempamba Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwa Bado yupo yupo CCM. Malisa anasema kuwa hata gazeti la Kada wa CCM, Majira limewapiku Tanzania Daima.

Nikuhakikishie ndugu yangu Malisa kuwa haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya. Yamepangwa na kupangika. Awali nilipofichua uhusika wa Mbowe juu ya kupotea kwa Ben mlinishambulia na kuniona kuwa ni mchonganishi. Sasa yamewakuta. Akili imeanza kuwarejea na sasa mnaungana na Lizaboni kimya kimya.

Wapo pia wanaosema kuwa Freeman Mbowe anastahili kuhojiwa kutokana na upotevu wa Ben. Naungana nao moja kwa moja kwani familia yake iliwajibika ila Mbowe na viongozi wenzake hawakuwajibika na hawapo tayari kuwajibika.

Kurasa zao za facebook hakika zimechafuka. Mashambulizi kwa Mbowe yamepamba kila kona. Wapo wanaosema waziwazi lakini wengine wanahoji kimya kimya. Mwisho wa siku akili itawarejea na wataanza kupaza sauti.

Nimalizie kwa kusema kuwa kabla hujamtafuta mbaya wako nje ya nyumba, jaribu kutafakari kwa kina mahusiano yako na watu wa ndani ya nyumba yako.

image.jpg
image.jpg
image.jpg
 
Back
Top Bottom