Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakamani lazima uthibitishe pasipo shaka kwamba walitaka kumuua, huwezi ongea maneno matupu ukaelewekaSabaya katika moja ya utetezi wake alishasema mbele ya hakimu kuwa kuna watu walikuwa wanataka kumuua ndiyo maana alikuwa anatembea na silaha na walinzi.
Ukiunganisha dots utapata majibu ya nini kitafuatia.
Kutoka kisutu, Mbowe anashitakiwa kwa makosa mengi ikiwemo kupanga kumuua Sabaya.
Kazi ipoo.
Mbowe umafia tu amefanya sana otherwise CHADEMA ingekufa toka 2009. Lakini nachopinga hawezi kwenda front mwenyewe lazima angetuma aides wake kma kina munishi au mrema et al ili asiwe na direct contact in care mission ikifeli.tulishangiliana sana kesi ya Sabaya kumbe ilikuwa ndoano ile...tusifanye masikhara sana unawezakuta majamaa yanaushahidi mtu akaoga miaka hapa...tusiwaamini sana wanasiasa na kujiaminisha sana kwao..
Aksante. Wanajifariji na kujisahaulisha. Madai ya Katiba mpya hayatazimika. Ni suala la mda tu.Kosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Yaani wafanyabiashara aliowapora mali au wahujumu uchumi wasimuue ila politician ndio amuue ambaye anategemea kura za wananchi na sio appointment??Sabaya katika moja ya utetezi wake alishasema mbele ya hakimu kuwa kuna watu walikuwa wanataka kumuua ndiyo maana alikuwa anatembea na silaha na walinzi.
Ukiunganisha dots utapata majibu ya nini kitafuatia.
hahaaa vyovyote mtakavyosema lakini mbowe ni gaidi tu subirini mashahidi 24 na vielelezo kadhaaKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Labda kama Lissu alishinda njaa kwenye uchaguzi lakini siyo kura maana TULIMKATAA kwenye sanduku la kuraKosa kubwa la Mbowe ni Lissu kushinda Urais 2020 na kuwaamsha Watanzania kudai Katiba mpya
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka unamwagika
AiseeKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
hao walinzi wake tangu wakamatwe hajawahi kuwaongelea popote ndiyo maana wameamua kumchoma boss wao na haowatakuwa mashahidi pia utaonaMbowe umafia tu amefanya sana otherwise CHADEMA ingekufa toka 2009. Lakini nachopinga hawezi kwenda front mwenyewe lazima angetuma aides wake kma kina munishi au mrema et al ili asiwe na direct contact in care mission ikifeli. Na mara nyingi issue kubwa kma hii una outsource mercenaries hta wa Kenya huko ila sio eti hao hao walinzi wako uwatumie ilihali siku mkikosana watakuchoma!!!
Mbowe anaweza kuwa na madhaifu mengine ila hawezi kuwa dull kwa level hii.
Wewe acha unafikiKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Kutoka Kisutu, Mbowe anashitakiwa kwa makosa mengi ikiwemo kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya
Kazi ipo...
tulishangiliana sana kesi ya Sabaya kumbe ilikuwa ndoano ile...tusifanye masikhara sana unawezakuta majamaa yanaushahidi mtu akaoga miaka hapa...tusiwaamini sana wanasiasa na kujiaminisha sana kwao..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aisee umenifurahisha sana!Siasa za bongo ni ngumu sana
Siasa za Hai ni hatarishi zaidi...