Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu kuugua na KUFA KABISA.Sabaya yupi ??, Kweli TZ tupo uchumi wa Kati,
Hii kitu hii, Mungu asivyo na mchezo Kuna watu wataanza ugua vifafa, maana kila tukiwaonya wanafiki utani, Twende tu mda ni mwalim
Kwani wapi nimeandika kuwa hayawezi kujibiwa?Tuko pamoja. Maswali yake yanaweza kujibiwa.
watanyooka tu walinzi aliwatelekeza walipo kamatwa wametoa siri zooooooooooooteeee
Mlificha kichwa matako mkaacha wazi,Kosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Kutoka Kisutu, Mbowe anashitakiwa kwa makosa mengi ikiwemo kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya Kazi ipo. Pia soma
Wakati anatishia maisha sabaya alikua ameanza pia mambo ya katiba?Kosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Sabaya katika moja ya utetezi wake alishasema mbele ya hakimu kuwa kuna watu walikuwa wanataka kumuua ndiyo maana alikuwa anatembea na silaha na walinzi.
Ukiunganisha dots utapata majibu ya nini kitafuatia.
Sabaya katika moja ya utetezi wake alishasema mbele ya hakimu kuwa kuna watu walikuwa wanataka kumuua ndiyo maana alikuwa anatembea na silaha na walinzi.Hizi siasa hatari sana.Sabaya yupo Arusha mahabusu akishutumiwa kupora kwa kutumia silaha bila shaka atakuja kuwa shahidi wa kesi ya Mbowe kuja kuthibitisha alitaka kudhuliwa na Mbowe.
![]()
Yes upo sahihi kabisa. Na Sabaya alisema ushahidi anao na aliuwasilisha kwa IGP. Hivyo wacha tusubiri uamuzi wa mahakama maana IGP bado hajatoa ushahidi wake dhidi ya madai ya Sabaya.Mahakamani lazima uthibitishe pasipo shaka kwamba walitaka kumuua, huwezi ongea maneno matupu ukaeleweka
Nafikiri wewe umedandia treni kwa mbele.Yaani wafanyabiashara aliowapora mali au wahujumu uchumi wasimuue ila politician ndio amuue ambaye anategemea kura za wananchi na sio appointment??
This doesn't add up.... Maana Sabaya angeuwawa obvious angekamatwa Mbowe kutokana na uhasimu wao so hawezi kuwa blunt hivyo.
Trust me kma mbowe alipanga kumuua unadhani JPM angemuacha? Si wangemuwahi na SMG mkanda mzima ili kuprove a point.
Sabay kashutumiwa kuvamia mfanya biashara ssa whether Mbowe alitaka kumuua or not inajustify vipi kuvamia biashara bila hta jurisdiction ya mkoa husika kujua? Tena kwa kutumia mabaunsa wako na sio task force ya FIU au hta TRA basi!!
Haswaa,Hii nimeihisi pia, kuna kitu kipo nyuma kinakuja.
Sisi wengine tulionya humu kwamba kesi ya Sabaya siyo ya kawaida na kwamba ipo haja ya Sabaya kupewa ulinzi huko alikoTulishangiliana sana kesi ya Sabaya kumbe ilikuwa ndoano ile...tusifanye masikhara sana unawezakuta majamaa yanaushahidi mtu akaoga miaka hapa...tusiwaamini sana wanasiasa na kujiaminisha sana kwao..
Lissu hajawahi kushinda acheni chai zenu zisizo na viungoKosa kubwa la Mbowe ni Lissu kushinda Urais 2020 na kuwaamsha Watanzania kudai Katiba mpya
Sio lazima watoke mbali, hao hao wakifanikisha na wao wanapelekwa kutembea kuzimu.Mbowe umafia tu amefanya sana otherwise CHADEMA ingekufa toka 2009. Lakini nachopinga hawezi kwenda front mwenyewe lazima angetuma aides wake kma kina munishi au mrema et al ili asiwe na direct contact in care mission ikifeli.
Na mara nyingi issue kubwa kma hii una outsource mercenaries hta wa Kenya huko ila sio eti hao hao walinzi wako uwatumie ilihali siku mkikosana watakuchoma!!!
Mbowe anaweza kuwa na madhaifu mengine ila hawezi kuwa dull kwa level hii.
Mwambie Mahera atoe matokeo halali ya urais 2020 , maana anayoLissu hajawahi kushinda acheni chai zenu zisizo na viungo