Mwanamakunda
Member
- Apr 1, 2021
- 19
- 91
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE
Na Rogan Swai, Narumu Blog
Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.
Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.
Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.
Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.
Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.
Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.
Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.
Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.
Alamsiki
Na Rogan Swai, Narumu Blog
Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.
Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.
Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.
Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.
Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.
Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.
Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.
Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.
Alamsiki