Freeman Mbowe ni Kinyonga Mwenye sura Mbili, Wazee wa Machame wamuonya, Saashisha apewa heko

Freeman Mbowe ni Kinyonga Mwenye sura Mbili, Wazee wa Machame wamuonya, Saashisha apewa heko

Mwanamakunda

Member
Joined
Apr 1, 2021
Posts
19
Reaction score
91
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE

Na Rogan Swai, Narumu Blog

Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.

Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.

Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.

Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.

Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.

Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.

Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.

Alamsiki
 
Mbowe ni mlamba Asali tu, amwachie kijana mdogo Saashisha Mafuwe apige kazi
 
Alitakiwa awe magereza Huyu muhuni, busara za Samia tu ndo zimembeba
Akileta Fuji tena mzibueni
MAMAKO hangaya kamkubali na kumuachia sembuse chawa wewe nani atakusikiza upuuzi wako huu huko unakomuombea MWAMBA ni kwa yule kibaka mwenzenu SABAYA na ndo mana mpaka leo YUMO NA HATOKI SHWAIN NYIE
 
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE

Na Rogan Swai, Narumu Blog


Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.

Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.

Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.

Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.

Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.

Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.

Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.

Alamsiki
UCHOCHEZI HUU
 
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE

Na Rogan Swai, Narumu Blog


Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.

Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.

Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.

Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.

Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.

Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.

Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.

Alamsiki
CCM wanamuwaza Mbowe muda wote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE

Na Rogan Swai, Narumu Blog


Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.

Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.

Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.

Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.

Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.

Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.

Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.

Alamsiki
tunajua MBOWE ndo GONJWA LENU KUU mtapona tu tulieni dawa ipenye taratibu
 
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE

Na Rogan Swai, Narumu Blog


Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole sana Kwa yote yaliyokukumba lakini tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa huruma zake Leo tuko na wewe mtaani vinginevyo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ndugu Mwenyekiti nimeandika ujumbe huu baada ya tafakuri ya muda mrefu juu ya mambo unayoyafanya kitaifa na mengine unayoyafanya nyuma ya pazia Jimboni Hai, hakika wewe ni kinyonga. Kitaifa unataka maridhiano lakini Jimboni Hai ambako yupo Mbunge kamili Ndugu Saashisha Mafuwe unamtengenezea mazengwe Kila pakikucha, bahati mbaya sana Saashisha Mafuwe ni mstaarabu mno Ila ingekuwa mtu mwingine mngeshaumizana tena.

Ndugu Mbowe umeunda kundi la wahuni machame linalozunguka kuleta sintofahamu na ghasia ukijua kabisa huu ni uchokozi, sijui unapima nguvu ya vyombo vya usalama au unapima uvumilivu wa Saashisha? Mimi natambua malezi aliyoyapata Saashisha Mafuwe kuanzia nyumbani hadi kanisani hatothubutu kukujibu Kwa fujo Bali Kwa kupiga goti, Ila sisi wananchi tusiofungamana na chama chochote, ila tunahitaji maendeleo tutakujibu Kwa njia unayoitaka maana Sasa imekuwa too much na ndio njia ulioizoea.

Juzi umeagiza watu walete fujo na kupandikiza chuki baina ya wananchi wa vijiji vya uduru na nshara juu ya mipaka ya vijiji vyao, umemtuma James Mbowe aandae wahuni kina Samson Kwayu na Jonas Lema kwenda kwenye mkutano wa Kijiji Cha nshara kuhamasisha fujo na kumtukana Mhe Mbunge Saashisha tumekuangalia tu, Leo tena umemtuma James Mbowe aandae fujo Narumu hakika hatutakubali.

Ndugu Mbowe, umekuwa bingwa wa kuvaa vinyago, ukiwa mbele ya camera unajiita mwanamaridhiano, ukiwa nyuma ya camera unaandaa fujo na ghasia Jimboni Hai ili tu Jimbo lisitawalike, nakuhakikishia hatutakuacha salama awamu hii.

Ndugu Mbowe nakusihi Pumzika Ulee wajukuu, umri wako Sasa huwezi kupambana na vijana ambao damu zao zinachemka utaishia kulialia kwenye Media, nakuomba Linda kaheshima kadogo ulichobakiwa nacho walau kakulinde uzeeni, hata wazee wenzio wa makoa wamekusihi acha kijana mwadilifu, mnyenyekuvu na mchapakazi Saashisha Mafuwe afanye kazi yake kwasasa kama ulivyoachwa wewe ufanye miaka 15 iliyopita maana hili ni Jimbo la wananchi wote wa hai na sio ufamle wako, umewadharau Sasa ukijibiwa Kwa njia unazotumia usije kulalamika na kutafuta huruma ya kitaifa maana vijana wameapa round hii kisusio Cha mtu kitaruka.

Ndugu Mbowe nakupa taarifa tu kuwa huna hatimiliki ya kuwa Mbunge wa hai milele, nakukumbusha wale kina mama wa machame uliowahi kuwaambia Hawana matumbo ya kuzaa Mbunge wameamua kumzaa Saashisha Mafuwe awapooze machungu ya maneno yako machafu, wale Wana-Narumu uliowahi kuwatukana kuwa barabara Yao niya ng'ombe wanakuonya usithubutu kukanyaga Kwenye hiyo barabara tena maana Saashisha Mafuwe kashaikarabati Kwa kiwango Bora sana.

Tunajua unazunguka maofisi ya Makatibu wakuu kuzuia Maendeleo na miradi inayofanyika Jimboni Hai lakini unapuuzwa, najua unaumia kuona bidii ya Mbunge wa Sasa, wewe ulishateleza na kuanguka inuka taratibu bila kumsumbua mtu lakini sio staili hii unayotumia.

Alamsiki
Sahashisha huyu huyu alieleta sahashisha Cup hai bila kuishirikisha bomang'ombe akijua fika uwanja wa half London ndo utatumia pia hapo hapo boma tulipigana kufa kupona kumtoa diwani nkya.
2025 nakula Ela yenu kura upinzani
 
Sahashisha huyu huyu alieleta sahashisha Cup hai bila kuishirikisha bomang'ombe akijua fika uwanja wa half London ndo utatumia pia hapo hapo boma tulipigana kufa kupona kumtoa diwani nkya.
2025 nakula Ela yenu kura upinzani
Kwani siku zote si ulikuwa unawapa upinza. Hakuna mtu anataka kura yako ya vitisho, kwanza haiwez badilisha chochote, chakuangalia ni kuwa aliyepo ni mtu sahihi? Je anamzidi Mbowe kwa matokeo jimboni ukilinganisha utendaji wake na Mbowe?
 
NAKUANDIKIA SAASHISHA MAFUWE, UMETUHESHIMISHA

Naandika Manka Lema, Mwananchi wako wa kata ya Muungano.

Kaka kwashaa, Nakiri sikukupigia kura mwaka 2020, najuta,naumia lakini sitarudia kosa. Watu watakuwa wanajiuliza Kwanini najuta? Ngoja niwaoneshe, Sisi wananchi wa jimbo la hai tumesumbuka na shida ya maji miaka nenda rudi, wamekuja wabunge na viongozi wengi wenye mbwembwe za kila namna wakaahidi na kuleta janjajanja za kisiasa wakitutumia kufanikisha ajenda zao za kujaza matumbo yao lakini hawakufanikiwa hata theluthi ya kutibu kero ya shida ya maji jimboni kwetu.

Najuta kwasababu juzi tarehe 12.08.2022 Mbunge wetu wa sasa Saashisha Mafuwe amefanikisha tiba ya kero ya maji kwa kuwasha umeme katika mradi wa maji kikafu jambo lililoshindikana kwa miaka nenda rudi, Bila mbwembwe wala mikogo wala matamko ya kihuni Saashisha Kaleta Bilioni 3.3 kwajili ya wananchi wa hai wapate maji hii ni historia, hakika mizimu ya mababu kuanzia Boma, Muungano, KIA, Bondeni, masama kusini inashangilia uko iliko, ubarikiwe sana KAKA.

Kwasasa niseme sisi wananchi umetugusa kwenye vilindi vya mioyo yetu, hatutaacha mtu akuguse, hatutaacha mjinga akutukane, tutamdhibiti kikaragosi yeyote na kibaraka yoyote atakaekusogelea.

Endelea kutupambania sisi wanyonge wa hai maana wewe ndio mtu sahihi, umekuja kwa wakati sahihi.
 
Wewe ni ni Saashisha mwenywe umeamua kujiita Manka, Hakuna Kipindi wilaya ya Hai inaisoma namba kama kipindi chote cha Mwenda zake akiwa amemuweka kijana wake Jambazi Sabaya hapo.

Na mpaka sasa Mbunge aliyepo hajaleta maendeleo yoyote, sana sana amekimbia kabisa na Jimbo lake. Kaka Mbowe enzi zake japo alikuwa na majukumu Mengi kama Kiongozi mkuu wa Chama kwa Taifa bado alikuwa anakumbuka Kweny Majukumu yake kwa Wananchi wa Hai.

Ameotesha Miti Wilaya nzima na Ameweka Magari yalikuwa yananyeshea Miti ile kila wiki.

Je hao vibaka wenu wa Kisiasa wanakitu gani cha Muhimu kwa wana Hai.
 
Wewe ni ni Saashisha mwenywe umeamua kujiita Manka, Hakuna Kipindi wilaya ya Hai inaisoma namba kama kipindi chote cha Mwenda zake akiwa amemuweka kijana wake Jambazi Sabaya hapo.

Na mpaka sasa Mbunge aliyepo hajaleta maendeleo yoyote, sana sana amekimbia kabisa na Jimbo lake. Kaka Mbowe enzi zake japo alikuwa na majukumu Mengi kama Kiongozi mkuu wa Chama kwa Taifa bado alikuwa anakumbuka Kweny Majukumu yake kwa Wananchi wa Hai.

Ameotesha Miti Wilaya nzima na Ameweka Magari yalikuwa yananyeshea Miti ile kila wiki.

Je hao vibaka wenu wa Kisiasa wanakitu gani cha Muhimu kwa wana Hai.
Je aliwezesha wananchi kupata maji? Wawezaleta kitu cha maendeleo katika eneo fulani lakini si muda wake kufanya jambo hilo
 
Back
Top Bottom