RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Kuna nyakati watu wengi walikuwa wakisema mbowe ni wakala wa ccm mda mrefu watu wengi walibisha hususani machawa wake ambao kwa sasa ndoo wanaompigania kugombea tena kiti cha mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo.
Mbowe asichokijuwa Tundu lisu ana clip zote zinazoonesha wenje kwenda na Abdul nyumbani kwake kumpa rushwa ili asiieseme Sana serikali madhaifu yake .
Mbowe asichokijuwa NI kwamba fedha zote alizopokea kutoka ccm lisu anataarifa nazo na mda wowote ataweka hadharani
Mbowe asichokijuwa NI kwamba wajumbe wa chama wamemchoka na maigizo ambayo amekuwa akifanya kwa miaka mingi kujinufaisha kupitia chama bila kuweka misingi imara.
Mbowe asichokijuwa NI kwamba kuendelea kunga'nga'nia madaraka chama kitapoteza sifa ya kuitwa chama cha demokrasia
-Kama mbowe anashawishiwa na wanachama kugombea nafasi ya mwenyekiti je akiwa raisi akaeendelea kushawishiwa mtu huyu hawezi kuachia madaraka kwa miaka yote atakuwa mseveni wa Uganda na kwingineko.
Mbowe chama kinakuhutaji 21yrs inatosha nga'tuka Achia wengine mchango wako utaenziwa.
Mbowe asichokijuwa Tundu lisu ana clip zote zinazoonesha wenje kwenda na Abdul nyumbani kwake kumpa rushwa ili asiieseme Sana serikali madhaifu yake .
Mbowe asichokijuwa NI kwamba fedha zote alizopokea kutoka ccm lisu anataarifa nazo na mda wowote ataweka hadharani
Mbowe asichokijuwa NI kwamba wajumbe wa chama wamemchoka na maigizo ambayo amekuwa akifanya kwa miaka mingi kujinufaisha kupitia chama bila kuweka misingi imara.
Mbowe asichokijuwa NI kwamba kuendelea kunga'nga'nia madaraka chama kitapoteza sifa ya kuitwa chama cha demokrasia
-Kama mbowe anashawishiwa na wanachama kugombea nafasi ya mwenyekiti je akiwa raisi akaeendelea kushawishiwa mtu huyu hawezi kuachia madaraka kwa miaka yote atakuwa mseveni wa Uganda na kwingineko.
Mbowe chama kinakuhutaji 21yrs inatosha nga'tuka Achia wengine mchango wako utaenziwa.