Lissu yupo sahihi, wala hana makosa, hasa kwenye chama chenye utaratibu wa kufanya utaratibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti. Ni haki yake na siyo mbaya.
And after all It is the right time kwa Mbowe kuachia madaraka kulinda heshima. Ameshakaa madarakani miaka 21. Inatosha, na amefanya mambo mema. Ni muda sahihi sasa wa yeye kuachia ngazi na wala siyo kwa ubaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.