Kutoa siri za chama. Fukuza Lisu, Lisu siyo oxygen ya chadema, fukuza takataka ErythrocyteHa
Hakuna kosa la kumuita lissu kwa chama now, lipi? Mbowe kaingia kwenye mtego wa like jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa siri za chama. Fukuza Lisu, Lisu siyo oxygen ya chadema, fukuza takataka ErythrocyteHa
Hakuna kosa la kumuita lissu kwa chama now, lipi? Mbowe kaingia kwenye mtego wa like jana
nadhani hiyo sifa ndio iliyombeba akapewa kibarua na mfumo. sasa anawamaliza wenzake.Katika kitu Mbowe kajaaliwa ni kariba ya kuelezea jambo, anaweza elezea jambo gumu kwa lugha rahis na wote mkamwelewa!
NB; Sultan Mbowe astaaafu inatosha aruhusu damu changa
Domo wazi lina faida na hasara zake hasa likiwa la mwanaume. Ila hasara ni nyingi.Lissu kwa maisha ya huku kitaa wahuni "tunawaita mdomo wazi"...
Maana yake mtu asie na siri wala kifua cha kuchagua kipi azungumze kipi aache.
Kirahisi hivyo!! Wamkanye kwani amefanya kosa gani?Erythrocyte Muiteni Lisu mmkanye, to the worst side msimamishe uanachama for say 6 months, the mpate muda wa kutafakari naye!
Kuropoka hovyo, kama hulioni hilo basi.Kirahisi hivyo!! Wamkanye kwani amefanya kosa gani?
Ungemshauri Mbowe apumzike, tamaa yale ya madataka inakichafua chama. Miaka 21 upo kwenye uongozi, na bado unataka uendelee! Kama umeshindwa kudeliver kwa miaka 21, unadhani utafanya maajabu nfani ya miaka 5? Tunatakiwa kufahamu kuwa uongozi siyo ajira.
Mbowe anajifanya Samia 😆😆Akijibu swali la Salim Kikeke Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe amekiri kuwa mara kadhaa amekuwa akikaa na Makamu wake, Tundu Lissu na kujadili mambo yanayohusu Chama na baadae anakuja kuzisikia taarifa hizo zimetoka nje.
View attachment 3191703
Soma, Pia: Freeman Mbowe: Shutma za Lissu dhidi yangu ni za uongobowe Biwe
Culture ya kumvumilia endelee kula pesa za chama kwa kivuli cha Uenyekiti?
Culture ya kumvumilia kutumia vibaya pesa za chama?
Culture ya kuto kutaka demokrasia itawale ndani ya Chama?
Culture ya kuruhusu rushwa kutawala ndani ya Chama?
Lisu kama Makamu kamvulia sana Mbowe, zaidi ya miaka 20 kaona mambo mengi maovu/madudu ya mwenyekiti wake, sasa ni muda wa kuyasema yote hadharani ili wanachama na wananchi wote wamuelewe Mbowe jinsi alivyo kwenye uongozi.
Ukiambiwa unazidi kuchanganyikiwa kadri siku zinavyokwenda unarusha vijitusi ambavyo (hata hivyo) si kila mtu anaviogopa.A very good observation.
1. Muiteni Lisu kwenye vikao vyenu.....displinary platform ya chama
2. To the worst side,unlikely one though, fukuza takataka
..haahaa serikali za mitaa kaambuliw 0.6%Jamaa ni kiongozi haswa
Siri Gani za chama? Siri Siri😂Kutoa siri za chama. Fukuza Lisu, Lisu siyo oxygen ya chadema, fukuza takataka Erythrocyte
Maka yako ananikubali sana maana kama nachanganyikiwa tusingelikuzaaUkiambiwa unazidi kuchanganyikiwa kadri siku zinavyokwenda unarusha vijitusi ambavyo (hata hivyo) si kila mtu anaviogopa.
Naunga mkono hoja.Nami nimemsikiliza na kuamini yote uliyosema.1. Nimemsikiliza mwamba kwa hizo dakika 20 za mahojiano yake. Sijaona hoja yoyote ya maana aliyotoa zaidi kutetea kutokuwa na umuhimu wa ukomo wa madaraka ya uongozi ndani ya CHADEMA...
2. Kingine ambacho ni very funny ni kuwa, katinga kwenye mahojiano na katiba ya chama. Lakini mpaka anamaliza mazungumzo yake ameishia kuonesha gamba la katiba hiyo tu badala ya kuitumia kujengea hoja....
3. Mimi nikafikiri kuwa angetoa mifano ya hoja za Tundu Lissu ambazo zinavunja/kiuka ibara au kipengere chochote cha katiba. Hakufanya hivyo na badala yake kaishia kumshambulia tu mpinzani wake na kumtishia na kauli ya "mwisho wa siku tutarudi na kuangalia katiba inasemaje!"
4. Kingine ktk mantiki ya majibu yake ktk interview hii cha kushangaza ni kuwa, ni kama kwamba Freeman Mbowe hajui kuwa wako kwenye kipindi cha uchaguzi wa kidemokrasia huku yeye akiwa mgombea pia. Na ni kama hatambui kuwa ana wapinzani wanaokitaka kiti chake cha uenyekiti wake aliokaa hapo miaka 21. Najiuliza tu, kuwa, kwanini anafikiri hawa wapinzani wake watafanya kampeni zao kwa kumsifia yeye badala ya kueleza udhaifu na mapungufu yake binafsi na ya uongozi wake wa miaka 21 ndani ya chama? Mbowe hajui hili kweli? Je, huku ndo kuvunja au kukiuka katiba ya chama kunakosemwa? Mimi simuelewi kabisa huyu mzee..!!
5. Kwa nilivyomtazama, kumuona na kumsikiliza Mwamba, haina shaka kuwa jamaa ana hofu kubwa sana na uchaguzi ndani ya chama chake anachokiongoza. Na kusema ukweli ana haki ya kuwa na hofu kwa sababu ni yeye mwenyewe kufanya fyongo kwa kushindwa kuzitambua ishara za nyakati na majira kuwa haziko upande wake. AMECHELEWA KUCHUKUA MAAMUZI SAHIHI, YA HEKIMA NA BUSARA ya kupumzika na kulea chama...!
6. Hivi Freeman Mbowe anadhani anaweza kumtoa Tundu Lissu katika mstari kirahisi tu kama alivowahi kufanya kwa Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wenzake, Cecil Mwambe kila walipojaribu kuutaka uenyekiti?
7. Au anadhani anaweza kumfukuza Tundu Lissu chamani kirahisi tu kama alivyofanya kwa wengine? Kwa hoja na sababu zipi hasa? Aisee wafanye kazi ya ziada sana ambayo Mimi sioni hiyo ziada...!
I don't see that possibility at least for now.....
Apishe, lissu mbona hajawahi "mfokea' hivi tokea aanze Siasa in fact kwenye issue ya Zitto, Slaa, Lowassa kote huko Ali-side naye.
Mkuu vipi tena? This is not you. Huwa unasema Lissu hana uvumilivu alionao Mbowe, then please do the needy.Maka yako ananikubali sana maana kama nachanganyikiwa tusingelikuzaa
Lissu ana utoto sana
Damu changa ni Lissu?Katika kitu Mbowe kajaaliwa ni kariba ya kuelezea jambo, anaweza elezea jambo gumu kwa lugha rahis na wote mkamwelewa!
NB; Sultan Mbowe astaaafu inatosha aruhusu damu changa
Kwahiyo watamuengua ili aliyebaki apite bila kupingwaMbowe amekiri kuwa mara kadhaa amekuwa akikaa na Makamu wake, Tundu Lissu na kujadili mambo yanayohusu Chama na baadae anakuja kuzisikia taarifa hizo zimetoka nje.
Damu change isubiri Hadi ikomaeKatika kitu Mbowe kajaaliwa ni kariba ya kuelezea jambo, anaweza elezea jambo gumu kwa lugha rahis na wote mkamwelewa!
NB; Sultan Mbowe astaaafu inatosha aruhusu damu changa