Pre GE2025 Freeman Mbowe: Sina tabia ya kumshambulia kiongozi mwenzangu hata napokuwa siridhiki, Katiba kumbana Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kayajua je hayo? Si asubiri tunaomwona tuseme? Kwani nyani huona kundule? Au jambazi ajua yeye jambazi?

Kazi kweli kweli!
 
..Ni janga la kitaifa.

..Watanzania hatujadili kabisa hoja, hata zinapokuwepo mbele yetu.

Ni kawaida ya chawa kujadili watu.

Kumbuka chawa wako kimaslahi zaidi.

Chawa wanajua Lissu madarakani uchawa hauna nafasi tena CDM.

Wajadili hoja vipi chawa hao?
 
Katika kitu Mbowe kajaaliwa ni kariba ya kuelezea jambo, anaweza elezea jambo gumu kwa lugha rahis na wote mkamwelewa!

NB; Sultan Mbowe astaaafu inatosha aruhusu damu changa
Mbona mi sinamwelewa sasa
 
Ndugu The Palm Beach , kongole kwa mchango mzuri sana wa uchambuzi wa mahojiano ya Mbowe na Kikeke.

Umeandika ukweli na uhalisia wa yaliyomo kwenye mahojiano na yale ambayo yapo kwa Mbowe kutokana na uchaguzi huu.

Ningetamani huu uchambuzi wako uwe laminated na "ugandishwe" pale juu Jukwaa la Siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…