Huo umeme na sukari huenda vipo kwenu tuKwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
The Mtwara Convention😂Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini...
Hii imekaa sawa, sijui kama Zanzibar wataandamanaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini..
Najua hapo ulipo nafsi inakusuta kwa kuandika uongo.Huo umeme na sukari huenda vipo kwenu tu
UWT hawatumii sukari na umemeHuo umeme na sukari huenda vipo kwenu tu
Hilo ndio Azimio la Mtwara?😄Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024...
Kikokotoo na NHIF, yaani hoja haziishi.Kwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
Imekaa mokide kabisaHii imekaa sawa, sijui kama Zanzibar wataandamana
1. Uongozi thabiti kutokana na Katiba Bora( Mpya)Niko interested kujua ni nini madai namba moja ya hayo maanadamano!
Akili yako kama jina lakoKwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
Mama pole na maumivuHii fujo sasa hawa wehu wadhibitiwe.
Akili yako Haina akiliHao nyumbu hawana kazi za kufanya. Zito mtoto mdogo ameshaachia ngazi huyo makengeza anahangaika na maandamano. Ni mbinafsi sana.
Tumia akili kuwazaHAYO WAFANYAYO SIYO MAANDAMANO NI MATEMBEZI TU MAANA HAKUNA WATAKACHOKIPATA KWA MDEBWEDO HUO
Viongozi wanalipana posho za safari kutoka kwenye ruzuku ya chama kwenda kuongoza maandamano mikoani ni mradi wa kujikusanyia pesa za kugombea 2025 wao binafsi Ubunge kwa kisingizio cha maandamano.HAYO WAFANYAYO SIYO MAANDAMANO NI MATEMBEZI TU MAANA HAKUNA WATAKACHOKIPATA KWA MDEBWEDO HUO