Akili yako ndipo inapoishia undhani maitaji ya tanzania ni sukari na umeme basiKwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
kabisaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024.
Aidha, amewatangazia Diaspora kufanya maandamano makubwa kwenye miji mikubwa Duniani kupeleka Ujumbe duniani juu ya mambo yanayoendelea nchini.
Kamati kuu ya Chama hicho imepanga wiki hiyo ili kuwapa nafasi waumini wa dini zote kumaliza mfungo wao.
Ni aibu sana kuwa na viongozi wenye kuendesha vyama vyao kwa njia za matukio mbali mbali yanayotokea nchini.Duniani kuna mambo!
Lingine lilikuwa ni la ufisadi. Lakini bahati mbaya hoja ya ufisadi ilipotea midomoni mwa viongozi wa upinzani baada ya viongozi hao kumkaribisha mkubwa wa mafisadi agombee uraisi katika uchaguzi mkuu kupitia chama chao.Akili yako ndipo inapoishia undhani maitaji ya tanzania ni sukari na umeme basi
Mjinga huyoHuo umeme na sukari huenda vipo kwenu tu
Nimekaa pembeni naaangalia haya mambo! Haya maandamano yanaenda kuimaliza CHADEMA. Mimi si mtabiri wala msoma nyota au Sharrif lakini huo ndio ukweli na ukweli mtupu. Ipo hivi: CHADEMA wataitisha maandamano na yatakuwa na mwitikio mdogo, hapo ndipo relevance ya Chama itakuwa hoi! Tusubiri tuone.Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024.
Aidha, amewatangazia Diaspora kufanya maandamano makubwa kwenye miji mikubwa Duniani kupeleka Ujumbe duniani juu ya mambo yanayoendelea nchini.
Kamati kuu ya Chama hicho imepanga wiki hiyo ili kuwapa nafasi waumini wa dini zote kumaliza mfungo wao.
πππKwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?