Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amejibu maswali kuhusu madai ya mgawanyiko na mnyukano ndani ya chama hicho, akisisitiza kuwa migogoro ya kisiasa ni jambo la kawaida katika vyama vyenye nguvu. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya kisiasa ndani ya chama, Mbowe alisema kwamba licha ya kuwepo kwa makundi mbalimbali, kama vile lile linaloongozwa na yeye mwenyewe na la Makamu wake, Tundu Lissu, hakuna mgogoro utakaokigawa chama hicho.
"Ukiwa na chama cha siasa kisichokuwa na minyukano, hicho chama ni mfu," Mbowe alieleza kwa mzaha, akiongeza kuwa siasa ni uwanja wa mabadiliko na wakati mwingine viongozi wanapotea au kutolewa kauli zinazoweza kuwa na migogoro. Alisisitiza kuwa licha ya changamoto hizo, CHADEMA imejengwa kwa maumivu makubwa, na kila kiongozi ameapa kulinda chama kwa gharama yoyote.
Akizungumzia kuhusu kauli zilizotolewa na viongozi wengine, Mbowe alisema kuwa wakati mwingine kauli za viongozi zinaweza kuleta tafsiri tofauti, lakini hili halimaanishi kwamba kuna mgogoro wa kina utakaokigawa chama. Aliongeza kuwa "tutanyukana tu, lakini hatutakigawa CHADEMA," na kwamba chama kitaendelea kuwa na umoja.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amejibu maswali kuhusu madai ya mgawanyiko na mnyukano ndani ya chama hicho, akisisitiza kuwa migogoro ya kisiasa ni jambo la kawaida katika vyama vyenye nguvu. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya kisiasa ndani ya chama, Mbowe alisema kwamba licha ya kuwepo kwa makundi mbalimbali, kama vile lile linaloongozwa na yeye mwenyewe na la Makamu wake, Tundu Lissu, hakuna mgogoro utakaokigawa chama hicho.
"Ukiwa na chama cha siasa kisichokuwa na minyukano, hicho chama ni mfu," Mbowe alieleza kwa mzaha, akiongeza kuwa siasa ni uwanja wa mabadiliko na wakati mwingine viongozi wanapotea au kutolewa kauli zinazoweza kuwa na migogoro. Alisisitiza kuwa licha ya changamoto hizo, CHADEMA imejengwa kwa maumivu makubwa, na kila kiongozi ameapa kulinda chama kwa gharama yoyote.
Akizungumzia kuhusu kauli zilizotolewa na viongozi wengine, Mbowe alisema kuwa wakati mwingine kauli za viongozi zinaweza kuleta tafsiri tofauti, lakini hili halimaanishi kwamba kuna mgogoro wa kina utakaokigawa chama. Aliongeza kuwa "tutanyukana tu, lakini hatutakigawa CHADEMA," na kwamba chama kitaendelea kuwa na umoja.
Jamani mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. FREEMAN MBOWE ni Mwanasiasa mwenye busara sana anayetegemewa na upinzani Tanzania. Ni kweli hakuna ugomvi CHADEMA bali kuna uhuru wa kuongea na si UCHAWA.
Siku zote inashauriwa, kusikiliza zaidi kwa umakini kuliko mzungumzaji.....
Wewe hapa umepigwa chenga, hujawa msikilizaji mzuri na ndiyo maana unapotosha...
"Hajaitaka" bali "ameishangaa" mahakama kwa ukengeufu kila linapokuja swala la kufanya maamuzi yahusuyo demokrasia hapa nchini kushindwa kutoa maamuzi sahihi kwa kuhofia CCM hata kama ukweli na ushahidi uikiwa wazi...
Na hili ni kweli, halina shaka kabisa...
Mahakama ya Jaji Mkuu Othumani Chande ni za wale mahakimu na majaji wa kupigiwa simu na kupewa maamuzi ya kutoa badala kuangalia sheria na ushahidi...
Jamani mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. FREEMAN MBOWE ni Mwanasiasa mwenye busara sana anayetegemewa na upinzani Tanzania. Ni kweli hakuna ugomvi CHADEMA bali kuna uhuru wa kuongea na si UCHAWA.
Hakujawahi kuwa na mwenyekiti wa kudumi. Nadhani Mbowe ni mwenyekiti wa tatu. Hajafikisha na hatafikisha hata muda ambao Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekitiwa TANU. Maadam hajichagui wala hachapishiwi fomu 1, wacha aendelee, kuna siku atachoka, au atatshindwa kwenye uchaguzi.
Siku zote inashauriwa, kusikiliza zaidi kwa umakini kuliko mzungumzaji.....
Wewe hapa umepigwa chenga, hujawa msikilizaji mzuri na ndiyo maana unapotosha...
"Hajaitaka" bali "ameishangaa" mahakama kwa ukengeufu kila linapokuja swala la kufanya maamuzi yahusuyo demokrasia hapa nchini kushindwa kutoa maamuzi sahihi kwa kuhofia CCM hata kama ukweli na ushahidi uikiwa wazi...
Na hili ni kweli, halina shaka kabisa...
Mahakama ya Jaji Mkuu Othumani Chande ni za wale mahakimu na majaji wa kupigiwa simu na kupewa maamuzi ya kutoa badala kuangalia sheria na ushahidi...
Jamani mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. FREEMAN MBOWE ni Mwanasiasa mwenye busara sana anayetegemewa na upinzani Tanzania. Ni kweli hakuna ugomvi CHADEMA bali kuna uhuru wa kuongea na si UCHAWA.
Siku zote inashauriwa, kusikiliza zaidi kwa umakini kuliko mzungumzaji.....
Wewe hapa umepigwa chenga, hujawa msikilizaji mzuri na ndiyo maana unapotosha...
"Hajaitaka" bali "ameishangaa" mahakama kwa ukengeufu kila linapokuja swala la kufanya maamuzi yahusuyo demokrasia hapa nchini kushindwa kutoa maamuzi sahihi kwa kuhofia CCM hata kama ukweli na ushahidi uikiwa wazi..
Na bila kuathiri chochote, nampongeza sana mkuu 'The Palm Beach' kwa haya aliyo yaeleza hapa.
Ni wazi kwangu kuwa nyote wawili ni wasomi waelewa wazuri. Ni tofauti sana na hali inayo endelea kujitokeza ndani ya jukwaa hili toka kwa wachangiaji wengi.