Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe: Uchaguzi Mkuu wa 2020 CHADEMA hatukuwa na wagombea sahihi

Hivi kweli kwa kuweka mtu ambaye dishi limeyumba kiasi hicho kugombea urais, hivi walitegemea ushindi kweli? Yani sisi watanzania na akili zetu timamu kweli tuchague chizi kuwa rais? Hivi nyie chadema huwa mnatuonaje?
Na jamaa asivyo na akili timamu, keshajitangazia 2025 lazima anagombea, mtegemee kupigwa tena na mama. Yani yule jamaa hazimo kabisa.
 
Amemzungumziaje aliyekuwa mgombea wa ubunge Hai kwa tiketi ya Chadema?
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Umeelewa swali nililouliza?
 
Wanasiasa wote ni wanafiki sana. Unafiki na uongo ndiyo sifa za kwanza za mtu kuwa mwanasiasa.
 
Kuna harufu za uongo kwenye hii threads
 
Kama hakuna bifu basi tutamsikia tena ndugu Freeman kwenye kipindi cha utangazaji cha Antipasu cha mitandaoni akihojiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kumbe Lisu sasa hivi ana ka tv kake ka mkononi!
 
Leo yuko nyuma ya nondo
 
Nilishasema kuna bifu Kati Lisu na mwenyekiti wake haya sasa wale wapambe nuksi njoeni tena. Utabiri wangu Mbowe atadondoshwa na Lissu maana Ile mashine sio mchezo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…