Freeman Mbowe umeacha alama. Wewe si mnyonge bali ni Shujaa

Kwamba CcM walitaka Lissu ashinde!!!??? Mmechange gear ghafla hivi!? Kifupi Lumumba tumbo joto maana sasa watalazimika kufanya siasa na si maigizo
 
I wish angesikiliza maoni ya watu kipindi kile, yaliyomtaka kutogombea tena hiyo nafasi! Ila ndiyo hivyo tena; wapambe wake wakaamua kumpoteza.
Jasusi mwitu alimjaza vibaya sana na akakubali kujaa!!! Wamepiga mkwanja wake na mwisho wa siku kastaafishwa kwa aibu!
Yote kwa yote Mbowe ni shujaa wa demokrasia ya nchi hii na ni hazina kubwa kwa Chadema, tutaendelea kumuheshimu.
 
Kumpongeza Mbowe ni ujinga mkubwa.

Angejiweka pembeni kwa heshima tungeamini haya unayoyasema ni adili.

Amepoteza kila kitu mpaka heshima yake
Mbowe anastahili pongezi haikuwa rahisi kwa hili,maana alikuwa na uwezo wote wa kuharibu uchaguzi.
 
Mwamba Ameonesha ukomavu wa kisiasa!!!!
 
Kwamba CcM walitaka Lissu ashinde!!!??? Mmechange gear ghafla hivi!? Kifupi Lumumba tumbo joto maana sasa watalazimika kufanya siasa na si maigizo
Huwezi kuelewa. Mimi siku zote nimekuwa nikisema CCM wanataka Lissu ashinde. Kada wa CCM mkubwa alikuwa anamfanyia kampeni ya waziwazi.
Sasa ameshinda, yetu macho.

Amandla...
 
Kumpongeza Mbowe ni ujinga mkubwa.

Angejiweka pembeni kwa heshima tungeamini haya unayoyasema ni adili.

Amepoteza kila kitu mpaka heshima yake

ushindani ni mzuri. Demokrasia imeonekana hadharani. ushindi wa mezani hauna ladha na furaha kama wa uwanjani.
 
Huwezi kuelewa. Mimi siku zote nimekuwa nikisema CCM wanataka Lissu ashinde. Kada wa CCM mkubwa alikuwa anamfanyia kampeni ya waziwazi.
Sasa ameshinda, yetu macho.

Amandla...
Lumumba buku jero ona aibu. Lissu huyuhuyu mnayempinga daily ndo mlitaka ashinde!? Nape, Kigwangala n.k wote walishusha mabandiko yao kuonesha namna Mbowe anastahili kuwa mwennyekiti badala ya mbowe leo hii mmepigwa usoni mnachange gear!!! Aibu
 
Huwezi kuwa positively kwa Lissu na timu yake tupe ushahidi baada ya ushindi nini kimefanywa kuthibitisha dhana yako, otherwise you are a bad looser
 
Kumpongeza Mbowe ni ujinga mkubwa.

Angejiweka pembeni kwa heshima tungeamini haya unayoyasema ni adili.

Amepoteza kila kitu mpaka heshima yake
Tatizo wapambe wake na kuziamini zile kauli ya yeye ndiye Alfa na Omega. Ametoka ukumbini kwa aibu
 
Kwamba CcM walitaka Lissu ashinde!!!??? Mmechange gear ghafla hivi!? Kifupi Lumumba tumbo joto maana sasa watalazimika kufanya siasa na si maigizo
Huyu jamaa hajitambui mapenzi yake kwa Mbowe yamemtia upofu wa akili, chuki, kinyongo na hasira za Lissu kushinda amebaki kubwabwaja tu, hakuna points
 
Huwezi kuelewa. Mimi siku zote nimekuwa nikisema CCM wanataka Lissu ashinde. Kada wa CCM mkubwa alikuwa anamfanyia kampeni ya waziwazi.
Sasa ameshinda, yetu macho.

Amandla...
Haya ni maoni yako ya ndoto, kuanzia humu jf makada wengi wa CCM walikuwa wanampigia kampeni Mbowe. Tuonyeshe kwa huo ushahidi wa waziwazi wa kada wa CCM kumpigia Tundu Lissu kura? You are a bad looser
 
Lumumba buku jero ona aibu. Lissu huyuhuyu mnayempinga daily ndo mlitaka ashinde!? Nape, Kigwangala n.k wote walishusha mabandiko yao kuonesha namna Mbowe anastahili kuwa mwennyekiti badala ya mbowe leo hii mmepigwa usoni mnachange gear!!! Aibu
Hivi kwa ufahamu wako unadhani Nape wa goli la mkono na Kingwangala walidhani kuwa wanachama wa Chadema watafuata ushauri wao? Au kwa kufanya hivyo, watu wataamini CCM wanamtaka Mbowe na hivyo watampigia kura Lissu?

Nitakwambia kwa nini CCM wanafurahia matokeo ya uchaguzi wenu. Mbowe ni pragmatic na anaona mbali. Lissu ni mtu wa mihemuko. Kama mlivyosema wakati wa busara sio huu. Atawaambia hamna kuingia kwenye uchaguzi mpaka Katiba Mpya imepatikana. CCM watasema hewala na wataendelea na uchaguzi bila CDM. Act Wazalendo watashinda viti vya ubunge na udiwani. Zitto atakuwa kiongozi wa upinzani bungeni. Kwa sababu CDM haitagombea haitapata kura za kuwawezesha kupata ruzuku. CDM itategemea michango lakini hata hiyo watagundua haitoshi kuendesha chama. CDM kwishnei. Wakina Nape wamewawekea mtego na nyinyi mkaingia jumla.

Nawatakia kila la kheri chini ya uongozi wa Lissu, Heche na Lema.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…