Kuwepo kwa Wabunge wa upinzani kuapa leo ni ishara tosha kuwa ni Bunge la vyama vingi....full stopTume ya UCHAGUZI na chama tawala kinajua madhaifu ya wapinzani na kinayatumia ipasavyo Sasa NEC inatafuta namna ya kuwapoza. Sasa katika Hili ikiwa watakubali kupeleka na kuruhusu viti maalum inamaana wanautambua UCHAGUZI MKUU kuwa NI halali
Mchelewesha maendeleo tutamjua hivi punde.Tunataka nchi iwe kijani kitupu ili tupate maendeleo kwa haraka,wapinzani wanachelewesha maendeleo.
Wewe unasumbuka na nini chadema ikipotea midomoni mwa watu si ndio mpango kazi uliokuwepo na umefanyiwa kazi mbona kama unateseka? Kama ni suala la wanawake wako wengi huko bungeni jenda imebalansi kabisa, kama ki suala la upinzani si kuna TLP na UPDP waliunga mkono kabisa na mlisema hamtaki kuchanganyiwa rangi hizi kelele zinatoka wapi?Umejuaje Ni ccm wako concerned Mimi ni Raia wakawaida na sio shabiki wa ccm, so huo utoto mnaotaka kufanya CDM utawa cost Sana, ccm has nothing to loose ilanyie. Mtapotea midomoni mwa Watanzania ile kwenu, acheni kibri
Sisumbuki na chochote maoni yangu so yaheshimu ka Mimi ninavoheshimu yako hatufananiWewe unasumbuka na nini chadema ikipotea midomoni mwa watu si ndio mpango kazi uliokuwepo na umefanyiwa kazi mbona kama unateseka? Kama ni suala la wanawake wako wengi huko bungeni jenda imebalansi kabisa, kama ki suala la upinzani si kuna TLP na UPDP waliunga mkono kabisa na mlisema hamtaki kuchanganyiwa rangi hizi kelele zinatoka wapi?
Binafsi naamini ubunge ni ajira ndio maana kuna mishahara na mafaoKuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria...
Wewe kaa na CCM yako, huku CHADEMA kuna kuwashia nini? Katafute kazi ya kufanya.Ndugu zangu,
Maalim Seif alipata nini baada ya kususia Baraza la wawakilishi baada ya uchaguzi mkuu 2015?
Waswahili tunasema "sikio la kufa halisikii dawa" kuna kila dalili Mbowe naye kaamua kuiuwa CHADEMA kifo cha kunyonga.
"Ajizi nyumba ya njaa" muda utaleta majibu.
Kwani kabla ya hapo familia yake ilikuwa inalala njaa?Binafsi naamini ubunge ni ajira ndio maana kuna mishahara na mafao
Kinachonisikitisha ni kuwa viongozi wa CHADEMA kuzuia ajira za wenzao kisa wao hawakushinda. Wanataabisha familia zao maana walikuwa na faraja angalau wapate ubunge. Kwa kujali sana maslahi yao hawathamini kutaabika kwa wengine. Nimefurahi sana kumuona yule mbunge wa. CHADEMA bungeni, familia yake inamtazama yeye na sio chama, akilala njaa sina imani kama chama kitawajibika. Binafsi sioni tofauti ya mbunge wa CHADEMA, CCM,ACT au CUF kwani wote wamefuata shibe tu bungeni ila ninavyoona wapinzani wamekuwa wakiamini katika kupiga kelele na kupotosha umma kwa manufaa yao binafsi.
Akili yako nyembamba haijajua methali.Kwani kabla ya hapo familia yake ilikuwa inalala njaa?